BabaPrince
Senior Member
- Jan 10, 2016
- 125
- 45
Wakuu naombeni msaada.
Simu yangu ni aina ya Aquos Zero 801SH. Mwanzoni sikujua tatizo linatokana na nini ila nilivyofanya uchunguzi binafsi nikagundua kuwa kila nikiingia telegram tu simu inajirestart, nimejaribu kure install na kuinstall app mpya ila shida iko palepale. Apps zingine ziko poa tu. Mwenye ujuzi anisaidie.
NOTE: Storage Iko poa, haina shida. Nawasilisha.
Simu yangu ni aina ya Aquos Zero 801SH. Mwanzoni sikujua tatizo linatokana na nini ila nilivyofanya uchunguzi binafsi nikagundua kuwa kila nikiingia telegram tu simu inajirestart, nimejaribu kure install na kuinstall app mpya ila shida iko palepale. Apps zingine ziko poa tu. Mwenye ujuzi anisaidie.
NOTE: Storage Iko poa, haina shida. Nawasilisha.