Nataka kufahamu zaidi kuhusu utoaji wa mahari kwenye masuala ya ndoa kama:-
1. Mahari ni nini?
2. Mahari ni muhimu katika ndoa?
3. Bila mahari ndoa hiyo ni batili?
4. Nani anahusika kupokea na kutoa mahari?
5. Je,! Wasiotoa mahari wanatenda kosa gani kisheria?
Karibuni ndugu kwa msaada wenu
Serikali yetu ya Tanzania ina mipango na malengo mazuri ya kukwamua wananchi wake katika wimbi la umaskini na kuna mashirika mbalimbali ya kiserikali na yasiyo ya serikali yanayoshughulikia jambo hili. Lakini cha kushangaza TASAF ambayo ni shirika moja wapo sijaelewa wanufaika wake na ni mali ya...
Nimefurahishwa sana na maelekezo ya TAMISEN chini ya waziri Jafo kuwa awamu hii hakuna kuweka mpira kwapani bali gozi litegwe uwanjani lipigwe
Nina maswali kadhaa
1 nani kaweka mpira kwapani kati ya Wapinzani na Chama cha dola
2 kuna shida gani ya kumlazimisha aliyeweka mpira kwapani kudunda...
Kwa muda sasa siasa za Afrika na waafrika zimekuwa sikifanana na kutofautiana toka taifa moja hadi jingine hasa muundo na mwenendo wa kisiasa katika nyakati hizi za vyama vingi
Afrika imekuwa na utitili wa vyama vya siasa na wanachama hoi kiuchumi na kiuweledi hali ambayo kwao kila wakati ni...
Nimetamani sana neno hili kutokana na uzito wake linapotumika kwani mara nyingi waandishi was habari wakilitumia moyo wangu hufurahia na kuikoga nafsi yangu.
Hata hivyo pamoja na weledi wangu mdogo wa lugha zote neno, "kushtukiza" pia hunitatiza sana na wakati mwingine Mimi hudhani kuwa siasa...
Kwa miaka kadha sasa walimu wamekuwa wakilalamika kuhusiana na chama Chao cha cwt kuwa hakiwatendei haki hasa za kuwatetea kupata stahiki zao kwa mwajli ikiwa pamoja na kupanda daraja, mazingira bora ya kufanyia kazi nk.
Hata hivyo makato yasiyo wanufaisha wanachama wao wakati na baada ya...
Naomba kufahamu ugongwa huu unaitwaje maana ni muda sasa nimesumbuka nao bila majibu au tiba yake. Mwaka 2005 kulitoke ghafla mabaka meusi sana usoni pia pakatokea utando mweupe kwenye ulimi suala ambalo lilipekea kuhisi kichefuchefu na kutema mate mara kwa Mara au kila wakati na hivyo kupata...
Kwa muda sasa nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kufika kileleni mapema wakati wa tendo la ndoa kwani dakika moja au mbili tu inanichukua kufyatua manii hali ambayo inaninyima raha na kuchukiwa na mwenzi wangu naomba msaada wenu kwa suala hili
Tulianza kwa makofi mazito WA WA WA! baadae shangwe nderemo na vifijo kumbe hatukujua faida yake! Sasa kila mtaa watu wanasonyasonya tu hawana cha kusema wala kufanya si wakulima, wafanya biashara balaa kubwa watumishi wa umma na serikali mwezi huu wamekiona cha moto huku wakikumbuka usemi ule...
Mdogo wangu anataka kusoma shahada ya elimu na matokeo yake haya hapa language E Kiswahili D history E , Je atapata chuo hapa nchini au vyuo vya East Africa?
Sina shaka na uhakiki wa watumishi wa umma kuwa umekamilika, na pia kusitishwa kwa ajira, kupanda madaraja na nyongeza ya mishahara muda wake umepita tayari; ni kwa nini taarifa ya ajira, mishara na kupanda madaraja haijahuishwa ili watu wapate stahiki zao? Wasomi hawa na watumishi wa Tz...
Mwalimu Benedicto Mathias Mandago anayefundisha ihugi sekondari, halmashauri ya shinyanga vijijini amepotelewa na vyete vyake vya kitaaluma kwenye zoezi la uhakiki lilofanyika tarehe 19/9/2016 katika kituo cha solwa shule ya msingi. Hivyo kwa yeyote aliyeokota au kaviona kwa namna yeyeo...
Kuna taarifa kuwa kutakuwa na ukaguzi wa vyeti toka primary hadi elimu waliyonayo watumishi wa umma. Napenda toa rai kwa serikali kupeleka vyeti hivi mashuleni ili kupunguza usumbufu.
Hivi sasa walimu wakuu wa shule tulizosoma wanasema ' serikali iliacha kutoa vyeti hivyo, kwa maana hiyo...
Tokea enzi za ukabaila historia inaeleza ndiko wakati watu walianza kulipa kodi. Tokea enzi hizo hadi ukoloni na baada ya ukoloni watu walilipa kodi kodi zilikuwa nyingi mfano, kodi ya kichwa, mifugo, vitu, mazao, nk ni baadhi ya kodi ambazo waafrika wengi walilipa.
Hata hivyo baada ya Uhuru...
Taifa lenye ngonjera, majigambo, vioja, ulojo, fitina, usaliti, udhalimu, ghirba, ulafi, umangimeza, fikra chakafu, nk kwa wasomi na wananchi wetu wanatuhadaa mashujaa wa siasa na wakombozi wetu, hawa hawafai kwa sababu Vita ikifika mashambulizi yakizidi wanaungana na maadui kutushambulia sisi...
Napenda kulipongeza jeshi la polisi kwa kazi zake za kupambana na kuzuia uharifu dhidi ya raia wake, lakini mauaji ya raia wasiokuwa na hatia yanayofanywa na majambazi bado yanakithiri hapa nchini mfano, tanga, mwanza, mara, pamoja na mauaji dhidi ya ndugu zetu wenye ualbino.
Matukio yote haya...
Bahati mbaya sikusoma chekechea bali nilianza darasa la kwanza huku tukimba nyimbo za Kiswahili ambazo kwangu sikuweza kuimba kwa sauti badala yake nilikuwa nachezesha midomo ( lips) pamoja na kufungua kinywa changu kana kwamba natabasamu. Bahati mbaya mwalimu wangu hakujua kuwa sikusoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.