Je! Mahari ni suala la kisheria?

pambe samanini

JF-Expert Member
Oct 27, 2015
368
169
Nataka kufahamu zaidi kuhusu utoaji wa mahari kwenye masuala ya ndoa kama:-
1. Mahari ni nini?
2. Mahari ni muhimu katika ndoa?
3. Bila mahari ndoa hiyo ni batili?
4. Nani anahusika kupokea na kutoa mahari?
5. Je,! Wasiotoa mahari wanatenda kosa gani kisheria?
Karibuni ndugu kwa msaada wenu
 
Nataka kufahamu zaidi kuhusu utoaji wa mahari kwenye masuala ya ndoa kama:-
1. Mahari ni nini?
2. Mahari ni muhimu katika ndoa?
3. Bila mahari ndoa hiyo ni batili?
4. Nani anahusika kupokea na kutoa mahari?
5. Je,! Wasiotoa mahari wanatenda kosa gani kisheria?
Karibuni ndugu kwa msaada wenu
Kwa Kanisa katoliki, kama hujatoa mahari huoi.
 
Nataka kufahamu zaidi kuhusu utoaji wa mahari kwenye masuala ya ndoa kama:-
1. Mahari ni nini?
2. Mahari ni muhimu katika ndoa?
3. Bila mahari ndoa hiyo ni batili?
4. Nani anahusika kupokea na kutoa mahari?
5. Je,! Wasiotoa mahari wanatenda kosa gani kisheria?
Karibuni ndugu kwa msaada wenu
Ndio bila mahari, ndoa ni ubatili. Tena sana, ila ni kwa upande wa Imani zaidi hasahasa ya Kikristu.
 
Nataka kufahamu zaidi kuhusu utoaji wa mahari kwenye masuala ya ndoa kama:-
1. Mahari ni nini?
2. Mahari ni muhimu katika ndoa?
3. Bila mahari ndoa hiyo ni batili?
4. Nani anahusika kupokea na kutoa mahari?
5. Je,! Wasiotoa mahari wanatenda kosa gani kisheria?
Karibuni ndugu kwa msaada wenu
Zamani katika makabila ya kanda ya ziwa, aliyekufa mhusika mkuu wa kutoa mahari alikuwa mzazi wa kiume, na hata sasa ni hivyo, ila kama mzazi wa kiume ni maskini au hayupo, basi anayehusika kutoa mahari ni wewe.
 
Nataka kufahamu zaidi kuhusu utoaji wa mahari kwenye masuala ya ndoa kama:-
1. Mahari ni nini?
2. Mahari ni muhimu katika ndoa?
3. Bila mahari ndoa hiyo ni batili?
4. Nani anahusika kupokea na kutoa mahari?
5. Je,! Wasiotoa mahari wanatenda kosa gani kisheria?
Karibuni ndugu kwa msaada wenu
Kwa sheria za Kitanzania, hatendi kosa lolote ila kwa sheria za Kanisa katoliki ni kosa kubwa kubwa la kukupeleka Kuzimu.
 
Mahari ni makubaliano kwa vile ni sharti la ndoa ...Usipende kuruka stage si mila wala dini mahari ni muhimu sema kiwango sio constant .

Sidhani kama unataka kuoa na majukumu ya ndoa mtoto wa kiume ushindwe mahari .
 
Mleta mada bado hazikutoshi! Nakuuliza: Umezaa? Fikiria inafika jioni/usiku au siku kadhaa umuoni mtoto wako!! Patakalika? Bora awe amefariki ulie na kujua kila mtu atapitia njia hiyo na mwisho wa siku unatulia na maisha yanaendelea! Mtu au mtoto ameunganishwa na familia au ukoo alikozaliwa! Unapomchukua bila kibali cha familia au ukoo (kwa kushupaza shingo) ujue unajiingiza katika matatizo makubwa na ujue hayatakuacha/hayatawaacha salama mpaka mrekebishe na wazazi/familia yao! Hata kama mnajiona mko sawa na mahusiano yenu ya wizi, ni suala la muda tu (mtajikaza huku mmenigwa na tai shingoni). Binti wa watu kamwe usimchukue bila kibali cha wazazi! Fanya ufanyaro hata kwa kuwaomba na kuwaahidi kwa saundi kuliko kujifanya mwamba!
 
Mleta mada bado hajajibiwa swali lake kiufanisi!!
Kutoa mahari sio suala la kisheria! Unakuwa hujatenda kosa kwasababu huyo uliyemchukua kuwa mkeo naye anaakili angeweza kukataa! Kitendo cha kukubali kuondoka kwa wazazi wake na kuja kuanza kuishi na wewe wakati ana akili timamu (na ana umri wa miaka inayokubalika, mfano 18) kunakufanya muoaji hasiwe na kosa! Suala ni upande wa wazazi watalichukuliaje? wanaona mmewaletea dharau na ukikuta wazazi watata wanaweza kuja na kumchukua binti yao kwa nguvu na wewe mwanaume wakakulia njama na kukupa kibondo kikali hata kukuua! Kuna familia hazitaki kabisa kuunganishwa na koo/kabila/familia ya aina fulani kupitia kuoana! Nakupa mfano katika Biblia! (Mwanzo 34: nakuendelea). Mfano dhahiri hapa bongo nenda kamrubuni binti wa kihindi muweke ndani uone moto wake!
 
Mleta mada bado hazikutoshi! Nakuuliza: Umezaa? Fikiria inafika jioni/usiku au siku kadhaa umuoni mtoto wako!! Patakalika? Bora awe amefariki ulie na kujua kila mtu atapitia njia hiyo na mwisho wa siku unatulia na maisha yanaendelea! Mtu au mtoto ameunganishwa na familia au ukoo alikozaliwa! Unapomchukua bila kibali cha familia au ukoo (kwa kushupaza shingo) ujue unajiingiza katika matatizo makubwa na ujue hayatakuacha/hayatawaacha salama mpaka mrekebishe na wazazi/familia yao! Hata kama mnajiona mko sawa na mahusiano yenu ya wizi, ni suala la muda tu (mtajikaza huku mmenigwa na tai shingoni). Binti wa watu kamwe usimchukue bila kibali cha wazazi! Fanya ufanyaro hata kwa kuwaomba na kuwaahidi kwa saundi kuliko kujifanya mwamba!
Mbona kama hujamuelewa mtoa mada hivi,unamjibu kanakwamba kapinga maswala ya mahali.Yeye kauliza maswali na wewe mjibu kwa hoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom