Wakuu
Tumkumbuke Marehemu Deo Fillikunjombe aliposema kuna mawaziri si waaminifu ni hatua gani zilichukuliwa. Leo sauti yake inabaki pale pale kuna viongozi si waaminifu. Kwanini wabunge wa ccm wasimuenzi marehemu Deo Fillikunjombe?
JAMANI KUOA SI JAMBO DOGO, UNATAKIWA UWE UMEJIANDAA:
Hivi jamani, mnazijua gharama anazoingia bwana harusi hadi anapooa? Katika hali ya kawaida kabisa, kama wewe ni mwanaume na unataka kuoa, jiandae kwa mambo haya: (hizi ni gharama utakazoingia nje ya michango ya harusi)
1. Kujitambulisha...
Rais wa kenya Mwai Kibaki leo akiwahutubia wazee wa Dar kwa niaba ya Watanzania amesema ''Watanzania hamjazoea kutembea'' maana yake kuwa watanzania wengi wanaishi Tanzania tu Je hi si dharau kwa Watanzania? Inamaana Watanzania huushi pwani tu na hatutoki nje ya nchi hivyo akasisitiza tuende...
Wengi watadhani ninachokiandika hapa ni cha kijinga ila vyombo vya habari vya Tanzania vina tia Aibu. Kazi ya vyombo vya habari ni kupasha habari jamii hasa pale habari zozote muhimu au mbaya zinapotokea. Lakini imekuwa tofauti kwa vyombo vya habari Tanzania yapo kama sasa kuna matukio mengi...
Hili limetokea sasa hivi naomba ushauri wako ili angalau maamuzi yangu yasiwe mabaya.
Mimi nina ndugu yangu amabaye ni mtoto wa Mama yangu mdogo yeye kwa sasa ni marehemu ambaye alijaliwa kuzaa watoto wanne wakike wawili na wakiume wawili, sasa nilipokwenda liziko mwezi uliopita nilikuta yule...
Waziri Mkuu aliyejiuzulu na Mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nje, ulinzi na usalama Mh. Edward Lowassa atazungumzia mgogoro wa Malawi kuhusu ziwa nyasa na pia ugawaji vitalu migodini Katika Kipindi cha SAA 3.00: DAKIKA 45 Kupitia Runinga ya ITV.
Najiuliza maswali alistaili kuongelea...
Mh Waziri Mkuu sasa ameanzisha Tabia ya kukimbia Kila alhamis ya week ili kukwepa Maswali ya papo kwa Papo! Ilikuwa kila week akiulizwa maswali lakini kwa sasa amekuwa kila jumatano anaopa ruhusa ya kusafiri, Kama mnakumbuka toka atoe tamko la liwalo na liwe hadi sasa anaogopa kukaa pale alhamis...
Mh Spika Toka Jana ameanzisha kamchezo ka ajabu mara baada ya maswali na majibu anajifanya anakazi nyingine na kumuita Mwenyekiti wa Bunge kusimamia Bunge. Ila Sasa hivi ameanzisha katabia ka kuzuia mijadala hasa ile ya Miongozo amabayo Wabunge huja nayo Mara baada ya maswali na majibu...
Wana Jamvi Natamani huu mgomo wa Walimu ungetokea kipindi cha miaka 1994 hadi 2002. Hakika kipindi hicho wanafunzi hata wa shule za msingi walikuwa wanaumri mkubwa na wenye kufikiria na kuweza kuchukua hatua kuliko leo hii watoto wote ni wadogo wasioelewa chochote hata hawaelewi chochote.
Mfano...
Hakika Mungu amejaribu kuionesha Serikali ya Tanzania kutokana na Mzaha mzaha unaofanywa na serikali hii. Uzamaji wa Boti Zanzibar umetokea wakati Wizara ya mambo ya ndani kupitia majeshi yake yanayopaswa kusimamia usalama na ukoaji yalivyoonesha udhaifu mkubwa kuanzia taarifa mpaka uokoaji...
Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia Taarifa mbalimbali za Habari kupitia Vyombo tulivyonavyo Tanzania. Na Siku hizi angalau ITV huwa wanahabari za Maana kidogo na Star TV kwasasa lakini TBC ambayo ni chombo cha Taifa nilisha kisahau kabisa kwa habari zao kwani huwa hawana habari za maana...
Je Kama kweli Serikali imedhamilia kuleta madaktari wa kigeni kuchukua nafasi ya hawa waliogoma kutokana na mazingira magumu ikiwemo maslai duni na kutokuwepo kwa vifaa mbalimbali hosp. Je kama Hao Madaktari kutoka nje ya nchi watakuja na vifaa?
Je Wauguzi watakubali kushirikiana nao? kwani...
Je Kama kweli Serikali imedhamilia kuleta madaktari wa kigeni kuchukua nafasi ya hawa waliogoma kutokana na mazingira magumu ikiwemo maslai duni na kutokuwepo kwa vifaa mbalimbali hosp. Je kama Hao Madaktari kutoka nje ya nchi watakuja na vifaa?
Je Wauguzi watakubali kushirikiana nao? kwani...
Tuka nipate taarifa kupitia vyombo vya habari kama ITV kuwa Rais atahutubia Taifa leo hadi muda huu yupo kimya na hakuna taarifa zozote. Je huu si ubabaishaji mwingine? kwa watanzania kudanganywa na Rais au waliotoa taarifa hizi hawakuwa na taarifa kamili?
Au lengo ni taarifa zitolewe usiku...
47.-(1) Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwa
ndiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya
Muungano kwa jumla, na hususan-
(a) atamsaidia Rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku
hata siku za Mambo ya Muungano;
(b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na Rais;
(c) atafanya kazi...
47.-(1) Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwa
ndiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya
Muungano kwa jumla, na hususan-
(a) atamsaidia Rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku
hata siku za Mambo ya Muungano;
(b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na Rais;
(c) atafanya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.