Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Tuka nipate taarifa kupitia vyombo vya habari kama ITV kuwa Rais atahutubia Taifa leo hadi muda huu yupo kimya na hakuna taarifa zozote. Je huu si ubabaishaji mwingine? kwa watanzania kudanganywa na Rais au waliotoa taarifa hizi hawakuwa na taarifa kamili?
Au lengo ni taarifa zitolewe usiku Watanzania wengi wakiwa wamelala?
Au lengo ni taarifa zitolewe usiku Watanzania wengi wakiwa wamelala?