Wandugu.
Nauza hiace minibus ya abiria 16 ambayo ina mkataba na kampuni maarufu kwa malipo ya Shs.1.8 million kwa mwezi.
Bei ni maelewano.Nipigie simu 0784829633 au tuma email: sleyim@gmail.com.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida RTO 9 Kamanda wa Usalama wa barabarani mkoani Tanga akifuatana na askari wake wanne walimvamia Meneja wa kampuni ya mafuta ya GBP wakampiga hadi akazimia.
Meneja huyo kwa jina la Amour aliyekuwa akitoka kituo cha mafuta cha Airport eneo la Kange alisimishwa...
Kuna movie fulani ambayo Rashid Kawawa ali act kama Mhogo Mchungu enzi hizo.Ningependa sana kumuona akiwa katika action wakati huo.Nasikia alikuwa hodari sana na alifurahisha watu wengi.
Katika kumbukumbu ya watu mashuhuri kwenye movie industry,Kawawa ni mmojawapo na naomba wenye mkanda huo...
Nimeshakutana na wasomi kila aina,lakini majority yao ni watu wasiokuwa na uwezo hata wa kuendesha maisha yao.Na nimeshakutana na watu wasiokuwa na elimu ya maana...lakini ni watu makini,wana uwezo wa kifedha,wanajiamini na wanaendesha shughuli zao vizuri.
Sasa labda hapa ni kutafuta sababu za...
Mizani zetu zinazopima uzito ma magari ni mradi bora zaidi kwa wenye kutamani utajiri wa haraka haraka.Mafisadi vidagaa watarajiwa jiungeni katika wizara husika ili mkusanye hela ya bure.
Jana tanki la mafuta lenye uwezo wa kubeba lita 10,000 lilikuwa likisafirisha mafuta na lilipofika...
Wakulu,
Kutoka katika ajira ya kuajiriwa na kuingia katika ajira ya binafsi ni kazi kubwa.Mimi niko njia panda nataka kupata mkopo wa kununua truck ili hata nikiacha kazi yangu ya kuajiriwa niendelee na uzoefu nilionao kwa kuwa transporter.
Nina kiasi cha 20% cha mtaji ninaotaka.Nataka benki...
Napenda kujiendeleza kielimu,ingawa ni mtu mzima wa zaidi ya miaka 50( Elimu haina mwisho)
My intention is to pursue a bachelor's degree in Commerce.I am a working man and for the last 20 years have been holding managerial posts in two successiful private companies.In other ways i know how to...
Leo ndugu wananchi kuna kikao huko ahera kinachohudhuriwa na Mchonga,Kenyatta na Obote.Pia wapo Amin Dadah,Sheikh Karume na wana Afrika Mashariki mashuhuri wakisubiri habari za mgeni ambaye kwa bahati mbaya bado ni mimba lakini ameshakufa.Nyimbo za kumpokea zinasikika kila mahali.
"Karibu...
Mheshimiwa waziri na rafiki yangu Diallo.Najua fika kuwa wewe ni mwanasiasa mwenye juhudi kubwa katika masuala ya haki na maendeleo kitaifa.Tv yako ya Star una kila aina ya power of influence kwa wafanyakazi wako kutangaza kile unachodhani kuwa ni sahihi na kina manufaa kwa nchi na raia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.