Search results

  1. Ubumuntu

    Mambo ya kuzingatia ukitaka kununua gari Uingereza

    Salaam, Katika kujadili masuala mbalimbali yanayohusu magari, nilipata kuweka moja ya mitandao wa uuzaji na ununuaji wa magari Uingereza. Mtandao huu unaitwa Autotrader, ni moja mitandao maarufu na ya uhakika katika kununua na kuuza magari (mapya na yaliyotumika). Sasa ndugu Bavaria alipata...
  2. Ubumuntu

    “Oil catch can” kwa gari za diesel zenye turbocharger

    Salaam, Napenda kujulishwa kama kuna garage ambayo ina fundi mwenye kujua namna ya kuweka “oil catch can” kwenye gari za diesel zenye turbocharger. Oil catch can inasaidia kupunguza zile sludges kwenye pipes, hoses na intake manifold. Naulizia garage na fundi kwenye mikoa ya Dar, Arusha...
  3. Ubumuntu

    Why is Tanzania still a borrowing country under IDA?

    Salaam, Recently, there has been a discussion re the World Bank's new country classifications by income level. The classification indicated that Tanzania's economy has changed from being low to lower middle income level. The change has sparked discussions, which have largely based on crediting...
  4. Ubumuntu

    “Roma haikujengwa kwa siku moja”

    Mara kadhaa huu usemi, “Roma haikujengwa kwa siku moja” umesikika kutoka kwenye vinywa vya wanasiasa na hata wananchi. Leo katika uzi mmoja ambao naona umeshafutwa, nimekutana tena na usemi huo kama inavyoonyesha hapo juu. Hapa naweka tafakuri yangu juu ya usemi huu. Huu usemi wa “Roma...
  5. Ubumuntu

    Natafuta mtaalamu wa car navigation system ya Tanzania

    Salaam, Nina shida ya kuweka navigation system ya Tanzania kwenye gari iliyokuwa na navigation system ya Ulaya. Kama kuna mtaalamu humu ama mtu anayemfahamu mtaalamu, anisaidie. Wasalaam,
  6. Ubumuntu

    Tafakuri: Hasira na upumbavu

    Salaam, Kwa yanayoendelea nchini mwetu, nimepata fursa ya kutafakari neno la Mungu juu ya hasira na upumbavu, na jeuri na hekima. Nawaomba viongozi wa serikali, mtafakari pia anavyosema Mhubiri katika sura 7, mistari ya 7 na 9. Kwa wale wasio na Biblia, Mhubiri anasema: "Kweli jeuri...
  7. Ubumuntu

    Vita dhidi ya ufisadi na upekee wa Medard Matogolo Kalemani

    Salaam, Kama kichwa kinavyojieleza, Rais Magufuli aliingia madarakani kwa kujipembenua kwamba anapigana vuta dhidi ya ufisadi na uwizi ambao, kwa kipindi cha miaka 20 akiwa ndani ya serikali, ameweza kuuona. Na kama mnavyofahamu juu ya 'vita ya kiuchumi' ambayo ameizisha kwenye sekta ya madini...
  8. Ubumuntu

    Kuweka kumbukumbu sawa: kuhusu CHADEMA na mauaji ya Kibiti

    Mbowe akielezea msimamo wa chama: Hapa Lema na Mnyika wakiongelea kuhusu Kibiti, na kuzuiwa na Bunge: Hapa Mwigulu akitoa onyo kwa wabunge wanaoongelea mauaji ya Kibiti Bungeni: Bonasi: msikilize Rungwe hapa akiongelea mauaji ya Kibiti Wapinzania wasemee wapi wakati mikutano imezuiliwa...
  9. Ubumuntu

    Mjadala: Magari ya viongozi wetu na dhana ya kubana matumizi

    Salaam, Kama kichwa kinavyojieleza. Kumekuwa na mjadala wa miaka mingi juu ya aina ya magari ambayo viongozi wetu wa kiserikali wanayatumia kwa shughuli zao za kila siku. Binafsi, nimekuwa nikisema mara kwa mara kwamba viongozi wetu wanaishi kama mastaa wa Hollywood kupitia migongo yetu walipa...
  10. Ubumuntu

    Ushauri kwa UKAWA, achaneni na siasa fanyeni mambo mengine

    Naomba nianze kwa kusema, haya nitakayoyaandika, hakika, ningekuwa na madaraka, ningeyafanya bila kuwaza. Kwa maana hiyo, ninatoa ushauri wa kinadharia tu. Navipongeza vyama vya upinzani Tanzania kwa kazi kubwa sana ambayo vimelifanyia taifa hili. Toka mwaka 1992 (baada ya mfumo wa vyama vingi...
  11. Ubumuntu

    Obama atoa fundisho kwa Magufuli

    Salaam, Tunaelewa kwamba Rais Magufuli ana PhD katika nyanja ya Kemia. Tunaelewa pia Barack Obama ana Juris Doctor! Sasa Bwana Obama juzi ka-publish policy piece kwenye journal namba 2 kwa ubora duniani, Science. Cheki Hapa Humu Obama anaongelea suala la namna gani sekta binafsi inavyoweza...
  12. Ubumuntu

    Ukweli kuhusu Uswisi na siri za kibenki: Siasa za Uswisi ndiyo mwamuzi

    Salaam, Leo kumeletwa taarifa humu zinazoonyesha kwamba serikali ya Tanzania imetiliana mkataba na serikali ya Uswisi (kupitia Ubalozi wa Uswisi Tanzania) juu ya Uswisi kuisaidia Tanzania katika kuchunguza taarifa za kibenki za watanzania 'walioficha' fedha huko. Waziri Mahiga: Mkataba kusaka...
  13. Ubumuntu

    Waziri mkuu adanganya juu ya matumizi ya Kiswahili duniani

    Katika kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu wa JMT, kuna mbunge mmoja (mwanamke) aliuliza swali juu ya mpango wa serikali kupanua matumizi ya lugha ya kiswahili duniani. Katika majibu ya WM, alielezea 'mikakati' mbalimbali iliyochukuliwa na serikali. Jambo moja lililonivutia ni WM kusema lugha ya...
  14. Ubumuntu

    Forget Magufulisation, here is the reality

    The world's prosperity index has just been published. The Legatum Institute, a London-based think tank has released the 2015 prosperity index. As it has been the case for the last six years, Norway sits at the top, followed by Switzerland, Denmark, New Zealand and Sweden in the top five. This...
  15. Ubumuntu

    Ubobezi katika sheria wa Tulia Ackson ni upi?

    Ubobezi katika sheria wa Tulia Ackson ni upi? Chanzo: CCM Blog: DK TULIA ACKSON NDIE NAIBU SPIKA WA BUNGE LA 11 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Salaam, Jana Tanzania iliweza kupata Naibu Spika wa Bunge la 11. Ni Tulia Ackson, aliyekuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa serikali ya JMT, mjumbe...
  16. Ubumuntu

    Soka si kitu bila kuheshimiana, kupendana na kuthaminiana

    Kusema ukweli nimeangalia hizi videos hadi chozi likanilengalenga, haswa ile ya kwanza...na tukio la yule dogo msauzi. Soka ni mchezo wa furaha, amani, upendo na kuheshimiana...wacheza soka wengi ni matajiri na masuperstaa haswa, lakini jinsi wanavyojishusha na kuwathamini mashabiki wao, ni...
  17. Ubumuntu

    Wakati serikali ya CCM wakijidai na 'Deluxe Train', Ethiopia wanatamba na "Light Train"

    Haya mambo yanahuzunisha sana kwa jinsi CCM ilivyoshindwa kulisongesha mbele taifa? Ebu ona Ethiopia inavyofanya mambo...pale Addis muda si mrefu Trams zitaanza kuhudumia takribani wakaazi 15,000 kwa kila saa!! Hivi nyiye wakubwa wa CCM shule mlienda kujifunza ujinga? (chanzo...
  18. Ubumuntu

    Chemsha bongo: picha na maelezo

    Salaam wana JF, Katika hii picha, unaweza kusema hiyo picha imepigwa wapi na nini kazi (kwa wakati uliopits, ya hicho kinachoonekana kwa chini?
  19. Ubumuntu

    Tatizo la watu wengi: kuchanganya maneno 'lose' na 'loose'

    Salaam wana JF! Kuna hili tatizo ambalo nimeliona katika jamii yetu (humu JF) na kwenye mitandao mingine ya kijamii. Nalo ni la kuchanganya matumizi ya maneno 'lose' na 'loose'. Haya maneno ya kiingereza yamekuwa yakitumika sivyo. Haswa kwa watu wengine kutumia neno 'loose' pale neno 'lose'...
  20. Ubumuntu

    Women stop being naggers

    Typical women's trait!
Back
Top Bottom