Habari, bila shaka Wote tunajua changamoto tuliyonayo watanzania kwa sasa hasa katika suala la mgao wa umeme , ambao umegeuka mwiba kwa wajasiliamali wengi.
Changamoto niliyonayo ni matumizi makubwa sana ya Fedha hasa katika kununua mafuta ya Petroli. Ambapo kwa mzigo nilionao Jenereta inatumia...
Nimefanikiwa kupata kampuni ya Utengenezaji Uuzaji wa Industrial Incubator za Vifaranga vya kuku, kampuni hiyo inaitwa WUXI SINOPFE INTERNATIONAL TRADING CORPORATION iliyoko Beijing (kama sijakosea).
Kampuni hii nimejaribu kuwasiluana nao kupitia details zao walizoziweka kwenye website yao...
Nimekuwa napata changamoto kwa upande wa hizi incubator ndogo za sido hata za kichina. Zimekuwa nyingi hazina utotoleshaji wa kueleweka. Mara nyingi ni pata potea.
Siku nyingine inafanya vizuri mpaka unaisifia ila siku nyingine inaharibu Mayai mpaka kichwa kinauma.
Nimejaribu kufanya...
Bati hizi ni zile laini au nzito kidogo ambazo hutumika kutengenezea loka/ masanduku ya bati (maloka) ya kutunzia vifaa vya wanafunzi wawapo bwenini. Msaada tafadhali.
Yanapatikana wapi na Mawasiliano ya wauzaji.
Kiukweli katika fuatilia yangu ya magari. Gari za Nissan Maarufu ni Morano, Dualis, X- trail, Nissan Patrol, Juke, na manufacture wengine kama Subaru, Toyota na kadhalika.
Gari za Nissan Qashqai ni nzuri sana kimuomekano na ulaji wa mafuta. Na nimefuatilia hata engine zake nyingi ni 1000+ mpaka...
Jamani nimeanza ukulima wa vitunguu, tatizo miche inapukutika sana kwenye kitalu. Inanyauka, japo naimwagilizia kila siku. Ni Mara yangu ya kwanza kulima vitunguu.
Msaada please.
Jamani nimeanza ukulima wa vitunguu, tatizo miche inapukutika sana kwenye kitalu. Inanyauka, japo naimwagilizia kila siku. Ni Mara yangu ya kwanza kulima vitunguu.
Msaada please.
Nataka nianze kufuga kuku wa kisasa tatizo nahofia dagaa na upatikanaji wake kwa anayejua ntawapataje kwa bei nafuu, kwa kanda ya ziwa anielekeze tafadhali..
Nataka nilime vitunguu. Na kwa uchunguzi mdogo nilioufanya nimegundua ili upate mbegu halisi ni vyema ukanunua kwa wakala wa mbegu.sasa nitamjuaje kama huyu ni wakala halisi? Kwa anayemfahamu kwa kahama anisaidie kunielekeza ikiwemo na sehemu au mawasiliano, Nahitaji mbegu za red Bombay...
kwa wale wenyeji wa mji wa kahama, ni fundi yupi ni mzuri katika maswala ya hardware?
laptop yangu haitoi sauti. ila nikiconnect headphone inatoa sauti.
au kwa yeyote Mwenye suluhisho la tatizo
anaweza toa maoni.
Pia betri yake na keyboard naweza pata wapi na kwa shillingi ngapi.
BRAND...
msaada: mwenye kufahamu application nzuri itakayo faa kwenye android. inayorecord sauti vizuri ya mtu anayenipigia. nimejaribu androrec inarekodi sauti kwa mbaali sana. kiasi kwamba najikuta inafanya kazi vizuri pale ninapoweka loud speaker.
Ipi ntaipata iliyo bora na inayorekodi clealy mtu...
wadau mi ni mmoja wa internet addicted. mara nyingi sana nimekuwa nikijihami kwa kuinstall strong antivirus. hiyo ni kwenye laptop ila sasa hivi nimenunua ka samsung galaxy . je na kenyewe kanahitaji antvirus? kwani kila siku ni wa kusurf na kudownload kwa simu. natumia android jelly bean.
Ni samsung galaxy s advance gt i9070.
Inagoma kudownload application yoyote kwenye Google play. Internet iko sawa tu kwani natumia 3g. Na inabrowse vizuri tu. Tatizo lilianza juzi. Kwa kugoma whatsapp nikaiunstall kujaribu kuinstall upya inagoma kuregister namba yangu. Nikajaribu kureset...
Aina ya simu ni samsung galaxy s adcanced gt i9070. Tangu juzi imegoma kudownload any application on google play inanambia error 403
Pia imegoma na whatsapp nika reset factory imegoma kuregister whatsapp phone number.
Nimejaribu njia nyingine kama kuunistall n a kureinstall inagoma. Help...
wadau, habari, kuna maswali kadhaa ambayo ningependa tujadili.........
watu hukoseana katika mahusiano, tena inafikia hatua mpaka kuachana (sababu ya makosa hayo).
kwa mfano makosa kama kufumania, matusi (kutukanwa/kutukana), kudhalilishwa, kusalitiwa na mengine meengi......
kuna baadhi ya...
KUNA TV SERIES KIBAO, ILA MIONGONI MWAO ZILIZO BAMBA NI NIKITA (ikaishia hewani) GAME OF THRONES (ikaishia hewani), KUNA PREASON BREAK, 24 HRS.
NAHITAJI KUANZA KUFUATILIA TV SERIES NYINGINE NZURI, JE NI IPI AMBAYO UNAHISI INAWEZA KUWA NA LEVEL HIZO HAPO JUU, AMBAYO UMEWAHI KUIFUATILIA, AU BADO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.