Nawezaje kujua kampuni fulani ni halali au ya kitapeli?

dfreym

JF-Expert Member
Oct 14, 2010
342
87
Nimefanikiwa kupata kampuni ya Utengenezaji Uuzaji wa Industrial Incubator za Vifaranga vya kuku, kampuni hiyo inaitwa WUXI SINOPFE INTERNATIONAL TRADING CORPORATION iliyoko Beijing (kama sijakosea).

Kampuni hii nimejaribu kuwasiluana nao kupitia details zao walizoziweka kwenye website yao www.sinopfe.com, na kuniunganisha na mtu wao wa masoko kwa namba ya WhatsApp. Tumepatana vizuri mpaka akanitumia proforma invoive kwa ajili ya malipo. Shida ikaja nikamuuliza mna wateja Tanzania? Akasema Ndiyo wapo wengi, nikamuomba anipe mawasiliano ya mbongo hata mmoja niwasiliane nae akagoma, akasema haruhusiwi kutoa hayo Mawasiliano bila idhini yao, nikamwambia awasiliane nao wamruhusu anipe hayo Mawasiliano , akanijibu wamemwambia hawahitaji usumbufu" Nikashituka hii ni kweli?

Nimejaribu kuwasiliana na Ubalozi wa Tanzania China kwa njia ya e-mail (ambazo aliwahi kuzitoa balozi KAIRUKI) Kabla haja hamishwa naona kimya hawana muda hata wa kujibu emails siku hizi.

Sasa nawasi wasi kuhusu usalama wa fedha zangu. Mwenye uwezo wa kunisaidia jambo hili kabla sijaingia mkenge anisaidie Tafadhali.

Taarifa zao za kibenki hizi hapa chini.
Bank information by TT
ACCOUNT NUMBER ********
Beneficiary WUXI SINOPFE INTERNATIONAL TRADING CORPORATION
TEL +86 510 83771139 Fax +86 510 83771826
BENEFICIARY BANK BANK OF CHINA XISHAN SUBBRANCH.
SWIFT CODE ***** BANK ADD 82 XIHU ROAD M WUXI 214101 JIANGSU CHINA
 
Kwa uzoefu ukishaona ni trading company basi hao ni madalali na huenda wakweli au sio! Tafuta kiwanda kbs kinachozalisha sio trading company, hope hii itasaidia kuongeza umakini zaidi!
 
Taarifa zao za kibenki hizi hapa chini.
Bank information by TT
ACCOUNT NUMBER ********
Beneficiary WUXI SINOPFE INTERNATIONAL TRADING CORPORATION
TEL +86 510 83771139 Fax +86 510 83771826
BENEFICIARY BANK BANK OF CHINA XISHAN SUBBRANCH.
SWIFT CODE ***** BANK ADD 82 XIHU ROAD M WUXI 214101 JIANGSU CHINA
Ili kujua kama kampuni fulani ya Kichina ni halali na siyo ya kitapeli, unaweza kufanya mambo yafuatayo:

1
- Tafuta taarifa za kampuni hiyo kwenye tovuti za kuaminika, kama vile [Alibaba], [Global Sources], au [Made-in-China]. Angalia kama kampuni hiyo ina leseni, cheti, na tathmini nzuri kutoka kwa wateja wengine (hizi documents huwekwa wazi kwenye hizo B2B site) | Nje ya hapo kuna uwezekano wa kupoteza hiyo fedha yako.

2. - Pendekeza na Tumia njia za malipo zinazokulinda wewe kama mnunuzi, kama vile [Alibaba/Alipay], [PayPal], au [Escrow].

3. - Epuka kulipa fedha moja kwa moja kwa kampuni hiyo, hasa kama ni kwa njia ya Western Union au MoneyGram na hata direct bank deposit, kama walivyopendekeza wao.
=
Angalia kielelezo hiki
1695352583321.png

  • Manunuzi nimefanya ALIBABA
  • Njia ya malipo | alibaba/alipay + paypal ( sikuchagua option ya kadi direct)
Hivyo muuzaji yeyote anayekubali njia salama ya malipo kama hii, Huyu ni muuzaji sahihi, na kamwe huwezi tapeliwa.
1695352811125.png

- Hii ni order nyingine, toka Alibaba, Nasubiria mzigo upokelewe China Warehouse, then ndipo ni Confirm delivery, Na muuzaji akabidhiwe na mfumo fedha yake.
=
Iwapo huna uzoefu na unahitaji usaidizi, waweza kunipa kazi ya kusimamia mchakato wote, nikiwa na maana Manunuzi + Usfirishaji + Clearance + Delivery Mahala ulipo.

Pia tembelea thread yangu | Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

=

Kwa yeyote anayehitaji kuagiza mzigo mkubwa hata kama ni Container zima la mzigo, basi usisiste kuwasiliana nami na nitasimamia mchakato wote ( manunuzi + kusafirisha + clearnce + delivery mahala ulipo) wewe jukumu lako ni kulipia na kuomba update tu toka kwangu.
 
Kama ubalozi wa Tz china hawajibu mails basi wasiliana na ubalozi wa china Tz
Hamna ubalozi unaweza kuwa na record ya makampuni yote ya nchi iliyoendelea, tena mabalozi kama wa Tz, kichefuchefu tu, utatapika bure, jifanyie vetting mwenyewe tu na mizigo yako walipe SGS wakufanyie ukaguzi, evaluation na testing kupunguza kupigwa japo ni ngumu kukwepa kabisa
 
Nimefanikiwa kupata kampuni ya Utengenezaji Uuzaji wa Industrial Incubator za Vifaranga vya kuku, kampuni hiyo inaitwa WUXI SINOPFE INTERNATIONAL TRADING CORPORATION iliyoko Beijing (kama sijakosea)

Kampuni hii nimejaribu kuwasiluana nao kupitia details zao walizoziweka kwenye website yao www.sinopfe.com, na kuniunganisha na mtu wao wa masoko kwa namba ya WhatsApp. Tumepatana vizuri mpaka akanitumia proforma invoive kwa ajili ya malipo. Shida ikaja nikamuuliza mna wateja Tanzania ? Akasema Ndiyo wapo wengi, nikamuomba anipe mawasiliano ya mbongo hata mmoja niwasiliane nae akagoma, akasema haruhusiwi kutoa hayo Mawasiliano bila idhini yao, nikamwambia awasiliane nao wamruhusu anipe hayo Mawasiliano , akanijibu wamemwambia hawahitaji usumbufu" Nikashituka hii ni kweli?

Nimejaribu kuwasiliana na Ubalozi wa Tanzania China kwa njia ya e-mail (ambazo aliwahi kuzitoa balozi KAIRUKI) Kabla haja hamishwa naona kimya hawana muda hata wa kujibu emails siku hizi.

Sasa nawasi wasi kuhusu usalama wa fedha zangu. Mwenye uwezo wa kunisaidia jambo hili kabla sijaingia mkenge anisaidie Tafadhali .

Taarifa zao za kibenki hizi hapa chini.
Bank information by TT
ACCOUNT NUMBER ********
Beneficiary WUXI SINOPFE INTERNATIONAL TRADING CORPORATION
TEL +86 510 83771139 Fax +86 510 83771826
BENEFICIARY BANK BANK OF CHINA XISHAN SUBBRANCH.
SWIFT CODE ***** BANK ADD 82 XIHU ROAD M WUXI 214101 JIANGSU CHINA
Unaingia Google unapata credentials zao kwa uhakika.. Fb kumejaa kampuni za kitapeli ukiingia Google wanakupa tahadhari


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefanikiwa kupata kampuni ya Utengenezaji Uuzaji wa Industrial Incubator za Vifaranga vya kuku, kampuni hiyo inaitwa WUXI SINOPFE INTERNATIONAL TRADING CORPORATION iliyoko Beijing (kama sijakosea)

Kampuni hii nimejaribu kuwasiluana nao kupitia details zao walizoziweka kwenye website yao www.sinopfe.com, na kuniunganisha na mtu wao wa masoko kwa namba ya WhatsApp. Tumepatana vizuri mpaka akanitumia proforma invoive kwa ajili ya malipo. Shida ikaja nikamuuliza mna wateja Tanzania ? Akasema Ndiyo wapo wengi, nikamuomba anipe mawasiliano ya mbongo hata mmoja niwasiliane nae akagoma, akasema haruhusiwi kutoa hayo Mawasiliano bila idhini yao, nikamwambia awasiliane nao wamruhusu anipe hayo Mawasiliano , akanijibu wamemwambia hawahitaji usumbufu" Nikashituka hii ni kweli?

Nimejaribu kuwasiliana na Ubalozi wa Tanzania China kwa njia ya e-mail (ambazo aliwahi kuzitoa balozi KAIRUKI) Kabla haja hamishwa naona kimya hawana muda hata wa kujibu emails siku hizi.

Sasa nawasi wasi kuhusu usalama wa fedha zangu. Mwenye uwezo wa kunisaidia jambo hili kabla sijaingia mkenge anisaidie Tafadhali .

Taarifa zao za kibenki hizi hapa chini.
Bank information by TT
ACCOUNT NUMBER ********
Beneficiary WUXI SINOPFE INTERNATIONAL TRADING CORPORATION
TEL +86 510 83771139 Fax +86 510 83771826
BENEFICIARY BANK BANK OF CHINA XISHAN SUBBRANCH.
SWIFT CODE ***** BANK ADD 82 XIHU ROAD M WUXI 214101 JIANGSU CHINA
Email yao ya kampuni walikupa?wakikupa official email yao kidogo ina make sense ila hizo namba za whatsapp na majina hazina inshu mtu yeyote anaweza kuyatumia akakudanganya ni kampuni yake.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Ili kujua kama kampuni fulani ya Kichina ni halali na siyo ya kitapeli, unaweza kufanya mambo yafuatayo:

1
- Tafuta taarifa za kampuni hiyo kwenye tovuti za kuaminika, kama vile [Alibaba], [Global Sources], au [Made-in-China]. Angalia kama kampuni hiyo ina leseni, cheti, na tathmini nzuri kutoka kwa wateja wengine (hizi documents huwekwa wazi kwenye hizo B2B site) | Nje ya hapo kuna uwezekano wa kupoteza hiyo fedha yako.

2. - Pendekeza na Tumia njia za malipo zinazokulinda wewe kama mnunuzi, kama vile [Alibaba/Alipay], [PayPal], au [Escrow].

3. - Epuka kulipa fedha moja kwa moja kwa kampuni hiyo, hasa kama ni kwa njia ya Western Union au MoneyGram na hata direct bank deposit, kama walivyopendekeza wao.
=
Angalia kielelezo hiki
View attachment 2757667
  • Manunuzi nimefanya ALIBABA
  • Njia ya malipo | alibaba/alipay + paypal ( sikuchagua option ya kadi direct)
Hivyo muuzaji yeyote anayekubali njia salama ya malipo kama hii, Huyu ni muuzaji sahihi, na kamwe huwezi tapeliwa.
View attachment 2757672
- Hii ni order nyingine, toka Alibaba, Nasubiria mzigo upokelewe China Warehouse, then ndipo ni Confirm delivery, Na muuzaji akabidhiwe na mfumo fedha yake.
=
Iwapo huna uzoefu na unahitaji usaidizi, waweza kunipa kazi ya kusimamia mchakato wote, nikiwa na maana Manunuzi + Usfirishaji + Clearance + Delivery Mahala ulipo.

Pia tembelea thread yangu | Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

=

Kwa yeyote anayehitaji kuagiza mzigo mkubwa hata kama ni Container zima la mzigo, basi usisiste kuwasiliana nami na nitasimamia mchakato wote ( manunuzi + kusafirisha + clearnce + delivery mahala ulipo) wewe jukumu lako ni kulipia na kuomba update tu toka kwangu.
Watakukwepa watasema we nitapeli bongo ndo tulivo
 
Wasiliana na Tanzua Express wanaweza kukusaidia kukununulia bidhaa kutoka kiwandani China na kusafirisha hadi Tanzania.

Wewe kazi yako ni kwenda kuchukua mzigo kwako ila mengine wao ndo wanashungulikia.

Wafatute instagram
 
Watakukwepa watasema we nitapeli bongo ndo tulivo
Kumsaidia mbongo na kumuondoa kwenye mtego wa kutapeliwa ni kazi sana ndugu,yaani ni bora atapeliwe na mchina au Muhindi kuliko kukupa dili wewe.
Kuna jamaa mmoja bhana alitaka kutapeliwa na wahindi kwa kuagiza product ya 70m,sasa akapewa invoice fake lakini ilikuwa bahati yake kabla hajalipia akanicheki nikamuonesha mitego yote akanielewa kisha nikamwambia usiagize online kwenye kampuni usizozijua kama vipi nipe hiyo kazi nikusimamie mguu kwa mguu,lakini nikaona jamaa moyo wake unakuwa mzito kama haniamini ndio kwanza ananiambia nikamfanyie connection kwenye maeneo yaleyale ambayo amenusurika kuibiwa basi baada ya hapo nikaachana naye.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Nimefanikiwa kupata kampuni ya Utengenezaji Uuzaji wa Industrial Incubator za Vifaranga vya kuku, kampuni hiyo inaitwa WUXI SINOPFE INTERNATIONAL TRADING CORPORATION iliyoko Beijing (kama sijakosea)

Kampuni hii nimejaribu kuwasiluana nao kupitia details zao walizoziweka kwenye website yao www.sinopfe.com, na kuniunganisha na mtu wao wa masoko kwa namba ya WhatsApp. Tumepatana vizuri mpaka akanitumia proforma invoive kwa ajili ya malipo. Shida ikaja nikamuuliza mna wateja Tanzania ? Akasema Ndiyo wapo wengi, nikamuomba anipe mawasiliano ya mbongo hata mmoja niwasiliane nae akagoma, akasema haruhusiwi kutoa hayo Mawasiliano bila idhini yao, nikamwambia awasiliane nao wamruhusu anipe hayo Mawasiliano , akanijibu wamemwambia hawahitaji usumbufu" Nikashituka hii ni kweli?

Nimejaribu kuwasiliana na Ubalozi wa Tanzania China kwa njia ya e-mail (ambazo aliwahi kuzitoa balozi KAIRUKI) Kabla haja hamishwa naona kimya hawana muda hata wa kujibu emails siku hizi.

Sasa nawasi wasi kuhusu usalama wa fedha zangu. Mwenye uwezo wa kunisaidia jambo hili kabla sijaingia mkenge anisaidie Tafadhali .

Taarifa zao za kibenki hizi hapa chini.
Bank information by TT
ACCOUNT NUMBER ********
Beneficiary WUXI SINOPFE INTERNATIONAL TRADING CORPORATION
TEL +86 510 83771139 Fax +86 510 83771826
BENEFICIARY BANK BANK OF CHINA XISHAN SUBBRANCH.
SWIFT CODE ***** BANK ADD 82 XIHU ROAD M WUXI 214101 JIANGSU CHINA
Nenda pale GSM waambie wakuunganishe na kijana kule Guangzhou akakuchekie live uchague mwenyewe mbona vitu vidogo hiv wabongo hamuumiz vichwa
 
Back
Top Bottom