dah umeniacha nahisi nahitaji kuingia chimbo nizijue kiundani
unaweza kuanza na movie maker kama una xp, au windows 7, ni simple sana kutumia. Hizi prog zimejumuishwa kwenye prog za kompyuta yako (hasa xp na 7), then ukiweza hapo tafuta more advanced prog..... Gtym
unaweza kuanza na movie maker kama una xp, au windows 7, ni simple sana kutumia. hizi prog zimejumuishwa kwenye prog za kompyuta yako (hasa xp na 7), then ukiweza hapo tafuta more advanced prog..... gtym
final cut au adobe premiere pro na pia pinnacle studio.Sony Vegas, Avid yaani ziko nyingi tu.
Movie Maker kwa Music Videos? duh! haya bana kila mtu na ujuzi wake! Kama ni mimi kwa kuanzia Prog nyepesi zaidi ningemshauri MagixMovie Edit Pro
Pinnacle hapana, haina multiple layers kwenye timeline na inasumbua kwenye rendering ila kwa Sony Vegas na Avid sawa
hutu tudude ni rahisi kutengenezea documentary, hasa za picha. Na siyo music videos
Sasa wandugu kama nimezawadiwa iMac (sijui ni inchi 21 hii ?) hiivi nitaweza kuyafunga hayo madudedude yote?(Hizo Video Editing Soft)Au Mac zina usumbufu gani? Na kwa kuongezea mimi nahitaji software kwa ajili ya kuedit picha kawaida,mnanishauri nitumie ipi wakuu? natanguliza Shukrani wanajamvi
Natumia final cut pro 7, ni nzuri sana! Achana na vngine vyoteeee! Final cut pro software kwenye computer za Mac ni bombaaaaaa!!!!
final cut au adobe premiere pro na pia pinnacle studio.Sony Vegas, Avid yaani ziko nyingi tu.
Nina Final Cut Pro X ukiihitaji kuinstall nitafute tuongee biashara
Ali M anajua??
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums