Nataka nianze kufuga kuku wa kisasa tatizo nahofia dagaa na upatikanaji wake kwa anayejua ntawapataje kwa bei nafuu, kwa kanda ya ziwa anielekeze tafadhali..
Nimeona thread yako ya kuku wa kienyeji,
Unataka fuga wa kisasa na wa kienyeji at the same time?
Ungedeal na aina moja kwanza, ni kaushauri tu, alafu kuhusu kuku wa kienyeji browse kwenye thread ya ujasiriamali utakuta na moja inaongelea huo ufugaji vizuri kabisa, utapata majibu yako,
Goodluck
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.