Habari za jioni wanajamvi, jioni hii kwenye kipindi habari za radio clouds FM, mtangazaji kaeleza kuwa ktk jimbo la Ilemela Shule ya msingi Hekima yenye wanafunzi wapatao zaidi ya 850 wamepewa mgawo Tsh. 450,000/- toka Serekali kuu za mpango wa elimu bure. Na uongozi wa shule unasubiri maekezo...
Wana Jf poleni na majukumu mbalimbali ktk ujenzi wa Tz yetu.
Mimi nilikuwa muajiriwa wa serikali ktk Idara ya Afya. Nimekuwa ktk ajira kwa kipindi kirefu zaidi ya miaka 20, serikalini na nimefanya kazi kwa uadilifu mzuri bila ya kuwa na kashfa yeyote ile. Baada ya kuona maisha yanakwenda sina...
Kuna thread ilitolewa majuzi na mdau humu ndani kuhusu kituo cha kujaza mafuta pale Sinza kijiweni, leo kwa kujaribu nilienda na rafiki yangu akiwa na gari yake IST, tukiwa ndani ya gari kwenye foleni ya kujaza mafuta hapo puma, mbele yetu kulikuwa na gari ndogo Fun Cargo ikijaza mafuta...
haya kwa wanaume hii ni habari njema ; 11th Annual American Association for Cancer Research (AACR) International Conference on Frontiers in Cancer Prevention Research
Two Physicians Charged in 9 Pain-Med DeathsRobert Lowes
Authors and Disclosures
Medical Student Rating:
( 0 Votes )
Rate This Article:
Print This
Email this
Share
FacebookTwitter
processing....
August 15, 2012 ...
Wakuu wana JF wakati nikiwa natokea Mabwepande kumsabahi jamaa zangu mida ya saa 11:30 jioni nilikuta tingatinga likivunja nyumba za Watanzania ambao walivamia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya waathirika wa mafuriko kule Jangwani. Inasikitisha sana maana kwa maelezo niliyopewa na wananchi wa...
A first- std teacher, Ms Smith (Age 28) was having trouble with one of
her students.
The teacher asked, "Boy, what is your problem?"
Boy Answered, "I'm too smart for the first- std. My sister is in the
third- std and I'm smarter than she is! I think I should be in the third-
std too!"
Ms...
Hivi hizi taasisi na vyama vyama vya wanawake tz imekaaje hii;
` WBA - bank ya wanawake Tz`
` WAMA- wanawake na maendeleo`
` KIWOHEDE- Kilimanjaro Women H.... Development.. Mtanisaidia hapo kwenye H wana jf kirefu chake nimesahau`
` MEWATA- Chama cha madaktari wanawke TZ`...
Mashabiki wa soka tz tumekuwa silka moja ya kutopendana kwenye shida na raha hasa timu zetu zinapokutwa na matatizo, embu tuige kwa wenzetu huko majuu kwenye ligi za wenzetu. Angalia hii ya Fabrice Muamba kwenye mechi ya kombe la FA kati ya Tottenham Hotspurs na Bolton Wonderers alivyo anguka...
Jamani nimechanganyikiwa naombeni ushauri, hivi navyopost hii thread siko sawa na demu wangu hatuongei wiki ya pili hakuliki hakulaliki nilimfuma na jamaa sehemu isyo rasmi kuanzia hapo hakuna maelewano ndani. Sasa mbaya zaidi hivi asubuhi hii nimepokea simu toka kwa demu mmoja ambaye...
wana jf natafuta msaada wa kisheria jinsi ya kuishtaki mtandao wa tigo,wamezidi kuniibia(over charge) ni mwaka wa 3.5 sasa sina hamu nao kabisa.Nataka wanilipe fidia inatisha sana yaani wana wizi wa wazi wazi.
Kwanza hawapokei simu ukiwapigia customer care, nina mwaka na miezi miwili sijawahi...
wana jf natafuta msaada wa kisheria jinsi ya kuishtaki mtandao wa tigo,wamezidi kuniibia(over charge) ni mwaka wa 3.5 sasa sina hamu nao kabisa.Nataka wanilipe fidia inatisha sana.
Nawakilisha.
Wakuu kwema? usiku wa kuamkia leo wakati narejea home kutoka kuwapa pole wahanga wa mabomu ya gongo la mboto,niliikuta radio One inatumbuiza miziki laini,meseji za kuwaliwaza wafiwa,wahanga Walionusurika na milipuko ya mabomu ya g.mboto. Ila kitu kimoja ambacho nilishindwa kumuelewa mtangazaji...
Wakuu kwema? usiku wa kuamkia leo wakati narejea home kutoka kuwapa pole wahanga wa mabomu ya gongo la mboto,niliikuta radio inatumbuiza miziki laini,meseji za kuwaliwaza wafiwa,wahanga Walionusurika na milipuko ya mabomu ya g.mboto. Ila kitu kimoja ambacho nilishindwa kumuelewa mtangazaji wa...
Kwa kinachoonekana kukerwa na hila na ufisadi uliokithiri ndani ya ccm, diwani wa kata ya sombetini mkoani arusha Diwani Mawazo amejiunga na chadema leo alasiri kwenye mkutano ulioshindikana uliokuwa ukihutubiwa na katibu mkuu wa chadema Dr Slaa ktk viwanja vya nmc unga limited.Pia kwa ujumla...
Wakati ndo natoka kupiga kura nafika tu home nikafungulia choice fm ambayo bbc idhaa ya kiswahili wanaitumia kurusha matangazo maalum ya uchaguzi wa tanzania, nikasikia wanatangaza kuwa leo asubuhi saa 12 muda ambao wananchi wanakwenda kupiga kura, kuna watu ambao idadi yao hakutajwa...
Jamani waungwana kwanza mambo vipi? mimi ni mgeni ndo kwanza nijunga mtandaoni kwa wana JF.Naomba kuuliza ngd zanguni hivi jk alialikwa mkutanoni mkoani Ruvuma au alitumia mabavu yake a.k.a ujeshi kuvamia mkutano wa walimu wetu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.