bigcell
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 219
- 60
Mashabiki wa soka tz tumekuwa silka moja ya kutopendana kwenye shida na raha hasa timu zetu zinapokutwa na matatizo, embu tuige kwa wenzetu huko majuu kwenye ligi za wenzetu. Angalia hii ya Fabrice Muamba kwenye mechi ya kombe la FA kati ya Tottenham Hotspurs na Bolton Wonderers alivyo anguka pale uwanjani, alivyotolewa kwenda hospital na wanavyomjali mashabiki na wachezaji timu pinzani.