bigcell JF-Expert Member Joined Oct 6, 2010 Posts 219 Reaction score 60 Jun 9, 2019 #1 Mji wa kibaha leo tuna siku ya 5 hatuna maji na hakuna Taarifa yoyote toka Dawasa kuwa kuna tatizo gani
Mji wa kibaha leo tuna siku ya 5 hatuna maji na hakuna Taarifa yoyote toka Dawasa kuwa kuna tatizo gani
rikiboy JF-Expert Member Joined Feb 19, 2017 Posts 22,170 Reaction score 43,971 Jun 9, 2019 #2 Kwani hakuna wahaya huko????
bigcell JF-Expert Member Joined Oct 6, 2010 Posts 219 Reaction score 60 Oct 18, 2019 Thread starter #3 Wahaya wa mjini hamna kitu
V victory02 JF-Expert Member Joined Nov 18, 2015 Posts 1,159 Reaction score 1,588 Oct 18, 2019 #4 bigcell said: Mji wa kibaha leo tuna siku ya 5 hatuna maji na hakuna Taarifa yoyote toka Dawasa kuwa kuna tatizo gani Click to expand... Kwanini Dawasa(Dar es salaam) ahudumie hadi Kibaha(Pwani). Tatizo linaanzia hapo
bigcell said: Mji wa kibaha leo tuna siku ya 5 hatuna maji na hakuna Taarifa yoyote toka Dawasa kuwa kuna tatizo gani Click to expand... Kwanini Dawasa(Dar es salaam) ahudumie hadi Kibaha(Pwani). Tatizo linaanzia hapo
Lubebenamawe JF-Expert Member Joined Oct 27, 2014 Posts 1,991 Reaction score 2,305 Oct 18, 2019 #5 Kinga ya mvua, mvua zote hizo unalalamika huna maji?