Poleni na majukumu ya kila siku.Nilikuwa naomba msaada wa kisheria juu ya uanzishwaji wa kampuni.Kwa yeyote anayeweza kunisaidia katka hili naomba tuwasiliane kwa 0759-835929,au 0717-034065
Walimu wa shule za msingi wameonekana ni waoga sana katika kutetea haki zao,lakini makucha yao yameonekana kwa 30% ya wanafunzi waliojiunga sekondari hawawezi kusoma na kuandika.Serikali iwe makini kwani baada ya ongezeko la ujinga litaendelea kwa kasi kubwa
Jamani mi naenda kulala naomba kwa uaminifu,naomba nimjue wa mwisho kulala hapa jf,kama ni wewe kabla hujalala,comment kwenye hii thread,kesho nitaicheki mshindi nitampa zawadi:a s 101::a s 101::a s 101:
NAJITOKEZA KUIPONGEZA CCM SIKU CHACHE BAADA YA KUCHAKACHUA KURA NA KUPATA KUSHINDA UBUNGE NA URAISI KILOMBERO,BEI YA CEMENTI YAPANDA KUTOKA 12,500-14,000 KWA MFUKO,NA HIYO NDIYO MAANA HALISI YA KASI MPYA ZAIDI,ARI MPYA ZAIDI NA NGUVU MPYA ZAIDI KATIKA KUMKANDAMIZA MTANZANIA.HAYA NDIYO MAISHA...
Wana lugha nahisi msamiati kuchakachua umekuwa ni msamiati uliokuwa na kutumiwa sana katika lugha yetu ya taifa na kuwa ni msamiati uliopata umaarufu kwa kipindi kifupi,na kukua kwa msamiati kuchakachua kumesaidiwa na matokeo ya uchaguzi
Wana jf naomba mnisaidie kama naweza kupata mawasiliano na watu wanaosoma masters nje ya nchi ili niweze kujua michakato ya kusoma huko inakuwaje,kwani natamani kufanya masters ng'ambo,program ninazopenda ni bussines program kama bba,marketing au finance
washkadau poleni na michakato ya maisha ya kila siku.Wana jf wenzangu nawaomba tu ni wagusie hili kuwa wachumba haswa unaotegemea kuoa hawatafutwi elctonicaly haya mambo yanatkiwa manualy ndio uanaume wenyewe,kwanza itakujengea makonfo ukiwa nae
Wana jf mi nawapa tu ushauri kama mtu huna kadi ya kupigia kura ni bora tu,ukae kimya kuliko kuchangia ishu kibao kuhusu uchaguzi halafu we mwenyewe si mshirika,nia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.