washkadau poleni na michakato ya maisha ya kila siku.wana jf wenzangu nawaomba tu ni wagusie hili kuwa wachumba haswa unaotegemea kuoa hawatafutwi elctonicaly haya mambo yanatkiwa manualy ndio uanaume wenyewe,kwanza itakujengea makonfo ukiwa nae
manually?where ?venue plsssss!!!!!
ahh mwenzangu wee kuuuliza si ujingaJamani Rose!!!! Ahh unanifanya siku yangu kuwa nzuri sana leo
washkadau poleni na michakato ya maisha ya kila siku.Wana jf wenzangu nawaomba tu ni wagusie hili kuwa wachumba haswa unaotegemea kuoa hawatafutwi elctonicaly haya mambo yanatkiwa manualy ndio uanaume wenyewe,kwanza itakujengea makonfo ukiwa nae
ahh mwenzangu wee kuuuliza si ujinga
nkijua venue na time ya wachumba wanapopatikana itakuwa vyema au siyo bwna?ndo mana nauliza mimi iyo venue wap na sangap?nkajitwalie na mimi wangu tena watatu ..mmoja namchezesha uwanjani wawili wa akiba uyu akizngua namwta uyu anakuja dimbani.....!!!!!
kwan umeskia ntawapa pasword ya....mwaya?akhu babu walaaaaaaaaaamwaya,"ukimwi haukubaliki" jamani
manually?where ?venue plsssss!!!!!
ahh mwenzangu wee kuuuliza si ujinga
nkijua venue na time ya wachumba wanapopatikana itakuwa vyema au siyo bwna?ndo mana nauliza mimi iyo venue wap na sangap?nkajitwalie na mimi wangu tena watatu ..mmoja namchezesha uwanjani wawili wa akiba uyu akizngua namwta uyu anakuja dimbani.....!!!!!