Nenda BestLife Africa utapata ushauri huko.Wana jf naomba mnisaidie kama naweza kupata mawasiliano na watu wanaosoma masters nje ya nchi ili niweze kujua michakato ya kusoma huko inakuwaje,kwani natamani kufanya masters ng'ambo,program ninazopenda ni bussines program kama bba,marketing au finance
sema nchi gani sasa u hv to specify
wengine tupo pakistani au wewe hujali hilo?
Wana jf naomba mnisaidie kama naweza kupata mawasiliano na watu wanaosoma masters nje ya nchi ili niweze kujua michakato ya kusoma huko inakuwaje,kwani natamani kufanya masters ng'ambo,program ninazopenda ni bussines program kama bba,marketing au finance
Mimi niko Afghanistan, "Kandahar University of Business Management"
Hivi bba ni "masters"?
Wana jf naomba mnisaidie kama naweza kupata mawasiliano na watu wanaosoma masters nje ya nchi ili niweze kujua michakato ya kusoma huko inakuwaje,kwani natamani kufanya masters ng'ambo,program ninazopenda ni bussines program kama bba,marketing au finance