Mh. JPM naomba uelekeze macho kwa wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Africa Mashariki. ...walifanya kazi kwa uadilifu kama ilivyo kauli mbiu yako lakini HAWAJALIPWA haki zao. ..wengi wamekufa. ..ni dhambi kuona waliotumikia taifa wakipuuzwa
Wasalaam
Naona ifike mahali wateja wawe wanafidiwa hasara inayotokana na kukatwa umeme.
Kuna uharibifu wa vifaa na pia bidhaa zinazohifadhiwa kwenye majokofu. ..kama tumeshalipia umeme sasa iweje makatizo ya umeme yakisababisha uharibifu tusifidiwe.
Wasalaam ..Mteja mwema wa Tanesco
Wadau inawezekana kasi hii ikasababisha watu kupoteza kazi kwenye taasisi ambazo haziendeshwi kwa faida mfano TRL nk.
Hapa jamvini unaweza kutoa ushauri hawa wenzetu waanzie wapi ili maisha yaendelee ...
Karibu
Nilikuwa naongea na ndugu yangu aliye pugu majohe ameniambia kuwa Greda lilipokuwa linarekebisha barabara za mtaa kuna maeneo wameingia sana kwenye viwanda vya watu..hasa chake
Kwa kuwa wadau mpo wenye uelewa kuhusu mambo haya ya barabara. je upana wa barabara ya mtaa ni upi?
Kama mtu...
Nimefuatilia kwa muda akaunti za Facebook nimeona kuna katabia cha kuweka picha selfie na wakati mwingine kupiga picha chakula
Najiuliza hivi hivyo ndivyo vitu pekee vyenye umuhimu kwetu.
Wenye haka kaugonjwa embu pokeeni dawa mpone. ..maana naona miaka inaenda bado hamponi
Leo nilikuwa natazama habari DW kuhusiana na suicide bombers huko ufaransa. ..nikaona mnara wa Aifel.
Nikaanza kuvuta kumbukumbu nikakumbuka.
Brazil.wanayo
Ujerumani. Wanayo.
Marekani. Wanayo
China. wanayo
Swali nililojiuliza miaka yote hii ya kujitawala sisi tumejenga kitu gani kama alama...
Wanabodi kuna wadau mnatarajia siku moja muwe wabunge. Kutokana na kutokujua mmekuwa hamweki mikakati mapema kufikia lengo.
Kama unataka kuwa mbunge kwa mara ya kwanza hakikisha unaanza kuweka ukaribu na watu wa jimbo lako.
Uwe angalau unakaa jimboni na kushiriki shughuli mbali mbali za...
Mwanabodi najua unahangaika kutafuta kipato kwa shida sana. ...unaweza kuwa mkulima. ..dereva boda boda nk.
Basi naona nikufunulie siri hii. ..ukiwa jasiri kidogo tu utakula mema ya nchi. ..kuwa mwanasiasa.
Wadau embu tujuzane. ..baada ya kupiga kura utakuwa wapi ukisubiri habari za kushitua .
Mimi nitakuwa nyumbani kwangu nimefungua geti natazama kituo. ..kwa karibuuu sana stone throw.
Walimbwende mpumzike siasa kidogo.
Hivi inakuwaje nguo ulinunua mwenyewe moja baada ya nyingine mpaka kabati likajaaa, halafu unapata tukio kama harusi unatoa nguo zote kabatini halafu bado huoni nguo ya kuvaaa.
Karibuni kwa michango.
Wadau,
Leo nilikuwa safarini basi kuna dada akikaa peke yake, baadae njiani anapanda mwanaume mmoja, jamaa akaanza kurusha mistari demu full ma tabasamu etc mwisho wakabadilishana namba. Mjuzi wa mambo nikikumbuka mbali penzi jipya. Si ajabu baadae sana kila moja akimwona mwenzake atatamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.