Nimefuatilia kwa muda akaunti za Facebook nimeona kuna katabia cha kuweka picha selfie na wakati mwingine kupiga picha chakula
Najiuliza hivi hivyo ndivyo vitu pekee vyenye umuhimu kwetu.
Wenye haka kaugonjwa embu pokeeni dawa mpone. ..maana naona miaka inaenda bado hamponi
Najiuliza hivi hivyo ndivyo vitu pekee vyenye umuhimu kwetu.
Wenye haka kaugonjwa embu pokeeni dawa mpone. ..maana naona miaka inaenda bado hamponi