A aaamuk JF-Expert Member Jan 26, 2015 707 209 Oct 11, 2015 #1 Watanzania ni walalamikaji sana. ..hii nafananisha na mtu kulalamikia kunguni wanaomng'ata usiku alafu asubuhi anasahau. . Ukimwambia atupe godoro anasema amelizoea lakini haishi kulalamika.
Watanzania ni walalamikaji sana. ..hii nafananisha na mtu kulalamikia kunguni wanaomng'ata usiku alafu asubuhi anasahau. . Ukimwambia atupe godoro anasema amelizoea lakini haishi kulalamika.
swabra chicharito Member Oct 8, 2015 46 9 Oct 12, 2015 #2 hahah so unamaanishaaa tufate mabadiliko eeh tuiChe ccm twende ukawaaaa