A aaamuk JF-Expert Member Jan 26, 2015 707 209 Dec 7, 2015 #1 Wadau inawezekana kasi hii ikasababisha watu kupoteza kazi kwenye taasisi ambazo haziendeshwi kwa faida mfano TRL nk. Hapa jamvini unaweza kutoa ushauri hawa wenzetu waanzie wapi ili maisha yaendelee ... Karibu
Wadau inawezekana kasi hii ikasababisha watu kupoteza kazi kwenye taasisi ambazo haziendeshwi kwa faida mfano TRL nk. Hapa jamvini unaweza kutoa ushauri hawa wenzetu waanzie wapi ili maisha yaendelee ... Karibu
A aaamuk JF-Expert Member Jan 26, 2015 707 209 Dec 7, 2015 Thread starter #3 Sijaelewa. ..nimekosea jukwaa au?