Mko maskani na washikaji usiku halafu askari wa msako wanapitia na kuwauliza.
"Vijana mnafanya nini gizani?"
Wewe kwa ujuaji wako unajibu," Mkuu kwani hapo ulipo ni mchana?"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.