Habari zenu wakuu kama mada inavyojieleza apo juu naomba msaada nataka kujua maswali yao na vitu vingine navoweza kitana nayo hii ndio interview yangu ya kwanza.
Nimetumiwa text message nimeambiw nijibu yes or no km ntakua available j3, kingine anasema inaweza kuwa physically au through Zoom...
Wakuu habari zeno,
Ninashida na jinsi yakuwasiliana na Google support service nimepoteza keys za Google authenticator nimejalibu kutafuta mawasiliano nao nimeshindw najua umu siatakosa mwanga karibuni.
CHIEF MKWAWA
WAKUU HABARI ZENU
Kutokana na tatizo la Ajira ofisi nyingi wanataka watu wenye experince angalau ya mwaka mmoja na mimi sina huzoefu wowote. Kwaiyo nawaomba member wote wa field ya SOCIAL SCIENCES mnisaidie kupata sehem ya kujitolea tu namimi nipate hujuzi angalau kidogo.
Nimesoma BA IN...
Kama kichwa cha habari kinavojieleza mwaka huu inawezekana kuhama course na chuo yani nataka kuhama kutoka forestry sua kuhamia wildlife and conservation udsm kwa anayezijua procedure anijuze.....
Nina nokia Asha311 lakini kila nikiplay video youtube inaniambia no response try again ilo tatizo limeanza hivi karibuni mwenye kujua tatizo anisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.