UDSM Alumni
JF-Expert Member
- Jan 25, 2015
- 2,522
- 1,363
Habari zenu wakuu kama mada inavyojieleza apo juu naomba msaada nataka kujua maswali yao na vitu vingine navoweza kitana nayo hii ndio interview yangu ya kwanza.
Nimetumiwa text message nimeambiw nijibu yes or no km ntakua available j3, kingine anasema inaweza kuwa physically au through Zoom.
Post ya Ajira ililetwa na mkuu covid 19
Nimetumiwa text message nimeambiw nijibu yes or no km ntakua available j3, kingine anasema inaweza kuwa physically au through Zoom.
Post ya Ajira ililetwa na mkuu covid 19