Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada.
Imepita zaidi ya mwaka na ushee hivi toka Soko Kuu la Kariakoo ambalo ni kitovu cha biashara katika nchi yetu na nchi zinazotuzunguka kuteketea kwa moto.
Sikumbuki kama tuliambiwa sababu ya kuungua soko hili wala hatua zilizochukuliwa kwa...
Bila salamu nijielekeze moja kwa moja kwenye mada
Kama binadamu (sio robot) leo nimeona nitimize wajibu wangu kuongea machache yanayohusiana na sakata la hizi bandari zetu
Kwanza kabisa niwakumbushe watawala wote (hasa wale wa ngazi zinazonyenyekewa) akiwemo Rais wa jamhuri ya muungano wa...
Kama inavyosomeka hapo juu wadau, nimelima mazao ya mahindi nikachanganya na kunde.
Changamoto niliyonayo nimechelewa kupalilia kwa jembe la mkono nataka nitumie dawa au "sumu" kupalilia
Shida ninayokutana nayo maduka nilipo ni kwamba wengi wanafahamu sumu za kupalilia zao moja pekee mfano...
# Gunia ni za kilo 100 kila moja
# kila gunia moja 50000 tu sawa na 500/kilo
# mashudu yapo mkoa wa pwani ila mwenye uhitaji atasafirishiwa popote ndani ya dar na mikoa jirani
Wahi chap*** mzigo ni mchache
Nicheki:. 0783 39 12 78
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
*** Nina Carpet mbili moja nyeusi na nyingine transparent kila moja ntauza 20000/ badala ya 40
***Kamba ya chuma ya kuvutia gari wa kati wa dharura taiuza kwa 10000 badala ya elfu 20
***Reflective triangle mbili kwa 7000 tu
***Dawa ya kusafishia na kutoa ukungu kwenye taa 10000 tu
***Foam...
Wakuu kwa kuwa nchi yetu inafuata utawala wa sheria ningependa niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Nijikite kwenye mada,
Mnamo tarehe 24 Juni, 2010 mshambuliaji na nahodha wa Timu ya Taifa ya Ufaransa Thiery Henry aliitwa na kuwekwa kikaangoni na Rais wa Ufaransa wa wakati huo Nicolas...
Wadau kama kichwa cha habari kinavyosema
Yapo kama gunia 3 za wastani wa kilo 100 @
Yapo nje kidogo ya dar ila kwa mwenye uhitaji ntamsafirishia hadi mbezi stand
Kwa anayehitaji ancheki:. 0783 391278
Bei 600 kwa kilo
Mmoja ni wakusimama "full'' bei yake ni 45000/
Mingine 15 ni ya blauzi 3500
Ni used nlikua nafanyia biashara nimeacha
Bei hizi hutapata popote.
Location: Tabata kinyerezi
Call: 0783391278
Moja kwa moja nijikite kwenye mada,
Hapo jana sikupenda kusema chochote kuhusu simba yangu maana ningeteremsha mitusi mizito kuanzia kwa kocha na mzungu wake ningeambulia ban ya maisha humu
Wameshaongea mengi humu kuhusu ukilaza wa kocha hasa kutojua ampange nani na wakati gani hususani kumtoa...
Sifa: bati nzito
Nakshi za mbao kwa ndani
Pvc ceiling bord
Kimedizainiwa kijanja
Location: mbezi mwisho
Bei: laki sita na nusu 650,000 tu
Call............ 0783391278
Wahi uchukue kinafaa kwa biashara smart
Kwanza nianze kukubaliana na walio wengi kuhusu kupanda kwa gharama za maisha kupita kiasi kutokana na sababu mbali mbali hasa zile za kiulimwengi hususani tokea mlipuko wa corona na sasa vita vya Russia na Ukraine
Ikumbukwe pia baada tu ya kutangazwa bei mpya za mafuta bei za vitu pamoja na...
Mdogo wangu mtangazaji, najua mmecheka sana mimi kukandwa
Naomba utambue kua kukandwa ni jambo la kawaida sana kwenye mchezo wa soka
Mdogo wangu mtangazaji, kama unadhani mchezo wa soka ni mwepesi weka kipaza sauti uingie dimbani uone kazi yake
Mdogo wangu mtangazaji, nilikuambia unaweza...
Moja kwa moja kwenye mada,
Toka kutolewa kwa hukumu iliyomfungia aliyekua msemaji wa klabu ya yanga ndugu Haji Sunday Manara kumekua na makundi mawili ama moja linahisi Manara ameonewa ama jingine linahisi TFF wapo sahihi
Nirudi nyuma kidogo kuwakumbusha mashabiki wa mpira kua sheria yoyote ya...
Awali ya yote niwasalimu nashabiki wenzangu wa kijani na njano
Bila kupoteza muda nichukue fursa hii kwa niaba ya wazee wa jangwani na mashabiki wote watiifu wa wananchi kuulaani uongozi wa juisiemu ukiongozwa na raisi wetu injinia hersi saidi kwa kufanya mambo yanayoigharimu timu pakubwa...
Machampioni wa kandanda nchini, timu pekee inayojulikana kuiwakilisha Tanzania kwenye medani za soka Afrika Simba sports club ya jijini Dar es salaam inatarajia kucheza mechi tatu nchini misri
Akizungumza na vyombo vya habari msemaji wa mabingwa hao waliofika robo fanali ya CAF mara kadhaa...
Wakuu kama bango linavuosomeka
Nipo maeneo ya tabata ninauza gauni nne za harusi na za kisasa kwa bei chee kama zinavyoonekana hapo chini
Bidhaa: Gauni nne za harusi za kisasa
Bei: Laki tatu na sabini (370,000) kwa zote
Mahali: Dar es salaam, tabata
Hali yake: zimetumika mara mbili tu...
Wakuu samahani kwa usumbufu,
Simaanishi Joy aliyesajiliwa jana na yanga HAPANA huyu sina shida naye japo kila akitajwa beki huyu wa pembeni picha ya shemeji yenu wa zamani hunijia ila tuyaache hapa namaanisha yule kijana wa Kirundi tuliyeambiwa ametoka ligi ya Uingereza na kuja Yanga[emoji849]...
-Hizi hukinga kioo cha gari yako na athari za jua la moja kwa moja (direct sunlight)
- Ulishaegesha gari mahali ukaingia na kukutana na joto la ajabu na la kukuunguza unapokaa kwenye siti?.... Shade hizi hufanya joto litokanalo na mionzi ya jua lisipenye ndani ya gari kwa kua likigonga juu ya...
Wakuu kama heading inavyosema, ni buti ya mtoto wa kiume wa around miaka mitatu hadi mitano
Ni vema akawa shabiki wa mabingwa wa NBC premier league kwa kua rangi zake zinasadifu kwa ukaribu mabingwa hawa mara 24 mfululizo
Size 24
Bei elekezi 15,000
Chombo kipo tabata
Click// 0692826262
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.