Uliza jike na dume sio wavulana na wasichana. Sawa?Wote ni wavulana au kina dada wangapi na kina kaka wangapi?
Ushaambiwa mbuzi wapo DarMbuzi wanakula bata hivo...wataweza kuishi huku loliondo kweli??
Ipo 150k boss tufanye jmboMahali: kinyerezi Dar es salaam
Idadi: watatu (3)
Bei: laki mbili kwa wote (200000)
Karibu pmView attachment 2262178View attachment 2262179
Loliondo kule hadi Longido ni mwendo wa Kondoo kwa wingi tena weupeeMbuzi wanakula bata hivo...wataweza kuishi huku loliondo kweli??
KibahaShamba wapi mkuu?
Daah aisee fursa hii sema imenikuta pesa sina leo ningewachukua hao wote.Mahali: kinyerezi Dar es salaam
Idadi: watatu (3)
Bei: laki mbili kwa wote (200000)
Karibu pmView attachment 2262178View attachment 2262179
Sawa My loveUliza jike na dume sio wavulana na wasichana. Sawa?