Ndege john mimi sio bogus, nafaham tarati bu za uuzaji niko mbali kiasi na bidhaa ninayoiuza kwa siku kadhaa ndio maana nimetoa contact kwa serious buyer afike mahali husika akikague anunueWe jamaa bogus kbs unauzaje Mali Kishamba hivi bila picha kitunogee
Aisee bora uwasisitize wakurekebishiie. Halafu ukumbuke pia kuweka na picha basi.Mods naombeni mrekebishe ninauza KIBANDA
Kwa hiyo mnapenda sana mkione KIBANFA laivu?We jamaa bogus kbs unauzaje Mali Kishamba hivi bila picha kitunogee
Picha?
Wako busy wanatafiti KIBANFA kwamba ni Kimongolia au ki GilgilashiMods wafutwe kazi