Rais Samia, Soko la Kariakoo halihitaji muwekezaji kutoka nje waachie wazawa wanufaike nalo

MUSHEKY

JF-Expert Member
May 9, 2014
2,812
2,754
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada.

Imepita zaidi ya mwaka na ushee hivi toka Soko Kuu la Kariakoo ambalo ni kitovu cha biashara katika nchi yetu na nchi zinazotuzunguka kuteketea kwa moto.

Sikumbuki kama tuliambiwa sababu ya kuungua soko hili wala hatua zilizochukuliwa kwa yeyote aliyehusika hadi leo, ninachokumbuka iliundwa Tume na Waziri Mkuu kuchunguza undani wa sakata hili ila kwa kuwa mambo ni mengi labda uchunguzi bado unaendelea.

Bila kujali yote hayo niipongeze serikali yako kwa kulikarabati na kulitanua maradufu soko hili, bila shaka ni jambo la kupongezwa sana.

Lengo la uzi huu ni kukuomba kama ikikupendeza baada ya kukamilika soko hili kubwa lenye kubeba taswira na uchumi wa nchi yetu, basi wasije wakakuhadaa wenzetu wachache wakafanya udalali kwa wanaoitwa wawekezaji na kuwaacha mamia ya wazawa wakiendelea kukimbizana na mgambo kwenye kingo za barabara.

Nikukumbushe tu Rais, soko hili kabla ya kuungua lilikua limebeba wazalendo kwa asilimia mia moja, tena wale wasio na connection yoyote hivyo tunatarajia kuwaona wakirejea bila blabla na replacement yoyote.

Nimalzie tu kwa kusema sina taarifa yoyote inayosema soko hilo kubwa na la kisasa litapewa wawekezaji na kipande kidogo watapewa wazawa ili kuwafumba macho laahasha! Nimejaribu tu kukushauri kile ninachojisikia ili na mimi nitimize wajibu wangu.

Hao mabwana wakubwa wameshakula na kusaza, tafadhali watuachie makombo yetu.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Tuuze tu kwanza mali zenyewe za urithi. Kila mtu akafie lembe.
 
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada

Imepita zaidi ya mwaka na ushee hivi toka soko kuu la kariakoo ambalo ni kitovu cha biashara katika nchi yetu na nchi zinazotuzunguka kuteketea kwa moto

Sikumbuki kama tuliambiwa sababu ya kuungua soko hili wala hatua zilizochukuliwa kwa yeyote aliyehusika hadi leo ninachokumbuka iliundwa tume na waziri mkuu kuchunguza undani wa sakata hili ila kwa kua mambo ni mengi labda uchunguzi bado unaendelea.....

Bila kujali yote hayo niipongeze serikali yako kwa kulikarabati na kulitanua maradufu soko hili bila shaka ni jambo la kupongezwa sana

Lengo la uzi huu ni kukuomba kama ikikupendeza baada ya kukamilika soko hili kubwa lenye kubeba taswira na uchumi wa nchi yetu baasi wasije wakakuhadaa wenzetu wachache wakafanya udalali kwa wanaoitwa wawekezaji na kuwaacha mamia ya wazawa wakiendelea kukimbizana na mgambo kwenye kingo za barabara

Nikukumbushe tu mama prezidenti soko hili kabla ya kuungua lilikua limebeba wazalendo kwa asilimia mia moja tena wale wasio na connection yoyote hivyo tunatarajia kuwaona wakirejea bila blabla na replacement yoyote

Nimalzie tu kwa kusema sina taarifa yoyote inayosema soko hilo kubwa na la kisasa litapewa wawekezaji na kipande kidogo watapewa wazawa ili kuwafumba macho laahasha! Nimejaribu tu kukushauri kile ninachojiskia ili na mimi nitimize wajibu wangu

Hao mabwana wakubwa wameshakulanna kusaza tafadhali watuachie makombo yetu

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Serekali inaweza kuitisha tenda kumpata mwekezaji ambaye ataweza kumudu kukusanya atakachopata,LAKINI AKALIPA SEREKALINI MILIOM 500+ KILA MWEZI.(below that figure ni wizi kwa watendaji)
-looks good enough.
 
Serekali inaweza kuitisha tenda kumpata mwekezaji ambaye ataweza kumudu kukusanya atakachopata,LAKINI AKALIPA SEREKALINI MILIOM 500+ KILA MWEZI.(below that figure ni wizi kwa watendaji)
-looks good enough.
Maana ya serikali ndio huo usimamizi na uangalizi.

Na serikali ni watu wenyewe.

Kama hiyo iliyopo 'serikali' itashindwa yenyewe kama yenyewe kusimamia basi tukiajiri huyo muwekezaji hiyo hela awekeze kuboresha miundombinu na usimamizi wa taratibu za soko na inayobaki ajilie zake tu.

Maana huyo mwekezaji ndiye atakuwa serikali! Umeona sasa?

Tofauti na hivyo, itabidi akusanye hela halafu awagawie wananchi tena jambo ambalo halitakuwa na mantiki maana sasa si ni bora asizikusanye in the first place. Zibakie tu huko zinakotakiwa kuwa.

Nyie mnaong'angana uwekezaji katika shughuli usimamizi mkichunguza mtagundua ni kiufupi mnasisitiza kuwa serikali imeshindwa kazi. Ambayo ni kusema wananchi wameshindwa kazi. Tunaenda wapi?

Na nyie wananchi wengine kama kweli bado mnaweza kuiendesha miradi. Basi jiungeni mtengeneze mashirika na makampuni ya kufanya huo usimamizi ili faida na kazi vyote viwe mali yenu. Ukilichunguza hili kimsingi/in essence utagundua kuwa ndivyo serikali inavyoundwa.!

Au nyie mnadhani serikali ni nini? Ni kitu gani haswa?
 
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada.

Imepita zaidi ya mwaka na ushee hivi toka Soko Kuu la Kariakoo ambalo ni kitovu cha biashara katika nchi yetu na nchi zinazotuzunguka kuteketea kwa moto.

Sikumbuki kama tuliambiwa sababu ya kuungua soko hili wala hatua zilizochukuliwa kwa yeyote aliyehusika hadi leo, ninachokumbuka iliundwa Tume na Waziri Mkuu kuchunguza undani wa sakata hili ila kwa kuwa mambo ni mengi labda uchunguzi bado unaendelea.

Bila kujali yote hayo niipongeze serikali yako kwa kulikarabati na kulitanua maradufu soko hili, bila shaka ni jambo la kupongezwa sana.

Lengo la uzi huu ni kukuomba kama ikikupendeza baada ya kukamilika soko hili kubwa lenye kubeba taswira na uchumi wa nchi yetu, basi wasije wakakuhadaa wenzetu wachache wakafanya udalali kwa wanaoitwa wawekezaji na kuwaacha mamia ya wazawa wakiendelea kukimbizana na mgambo kwenye kingo za barabara.

Nikukumbushe tu Rais, soko hili kabla ya kuungua lilikua limebeba wazalendo kwa asilimia mia moja, tena wale wasio na connection yoyote hivyo tunatarajia kuwaona wakirejea bila blabla na replacement yoyote.

Nimalzie tu kwa kusema sina taarifa yoyote inayosema soko hilo kubwa na la kisasa litapewa wawekezaji na kipande kidogo watapewa wazawa ili kuwafumba macho laahasha! Nimejaribu tu kukushauri kile ninachojisikia ili na mimi nitimize wajibu wangu.

Hao mabwana wakubwa wameshakula na kusaza, tafadhali watuachie makombo yetu.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app

Shachoka mimi hata kushauri, unafikiri watakusikiliza?
 
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada.

Imepita zaidi ya mwaka na ushee hivi toka Soko Kuu la Kariakoo ambalo ni kitovu cha biashara katika nchi yetu na nchi zinazotuzunguka kuteketea kwa moto.

Sikumbuki kama tuliambiwa sababu ya kuungua soko hili wala hatua zilizochukuliwa kwa yeyote aliyehusika hadi leo, ninachokumbuka iliundwa Tume na Waziri Mkuu kuchunguza undani wa sakata hili ila kwa kuwa mambo ni mengi labda uchunguzi bado unaendelea.

Bila kujali yote hayo niipongeze serikali yako kwa kulikarabati na kulitanua maradufu soko hili, bila shaka ni jambo la kupongezwa sana.

Lengo la uzi huu ni kukuomba kama ikikupendeza baada ya kukamilika soko hili kubwa lenye kubeba taswira na uchumi wa nchi yetu, basi wasije wakakuhadaa wenzetu wachache wakafanya udalali kwa wanaoitwa wawekezaji na kuwaacha mamia ya wazawa wakiendelea kukimbizana na mgambo kwenye kingo za barabara.

Nikukumbushe tu Rais, soko hili kabla ya kuungua lilikua limebeba wazalendo kwa asilimia mia moja, tena wale wasio na connection yoyote hivyo tunatarajia kuwaona wakirejea bila blabla na replacement yoyote.

Nimalzie tu kwa kusema sina taarifa yoyote inayosema soko hilo kubwa na la kisasa litapewa wawekezaji na kipande kidogo watapewa wazawa ili kuwafumba macho laahasha! Nimejaribu tu kukushauri kile ninachojisikia ili na mimi nitimize wajibu wangu.

Hao mabwana wakubwa wameshakula na kusaza, tafadhali watuachie makombo yetu.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Ukifika Kariakoo panda Ghorofa za pembeni zinazouza packaging, chungulia ndani, soko lote limejaa meza za Nyanya na Vitunguu za Zege kama vile kisutu.

Kuna watu makusudi wanasambaza Taarifa za uongo kwamba kuna mtu binafsi anajenga lile soko na hawarudi watu wa nyanya

Mi mwenyewe nilikua naskilizia frame ila nilivyoona hizo meza nimetafuta njia nyengine.
 
Hakuna ambacho kwa uhakika tunaweza kukisimamia sisi Waafrika wa Tanzania even the bunge
 
Hivi unawezaje kuandika yooooooote hayo wakati unakiri huna taarifa yoyote ya kutafutwa mwekezaji wala haijasemwa popote.

Kwann mnapenda Sana kuishi kwa mateso aisee. Kabla hujaandika gazeti kama hili lazima umewaza weeeeeee ukajipanga weeeeeeee sasa ya nini yote hayo kwa kitu kisicho exists?

Unasikia raha gani uki create taharuki kwenye jamii?
 
Maana ya serikali ndio huo usimamizi na uangalizi.

Na serikali ni watu wenyewe.

Kama hiyo iliyopo 'serikali' itashindwa yenyewe kama yenyewe kusimamia basi tukiajiri huyo muwekezaji hiyo hela awekeze kuboresha miundombinu na usimamizi wa taratibu za soko na inayobaki ajilie zake tu.

Maana huyo mwekezaji ndiye atakuwa serikali! Umeona sasa?

Tofauti na hivyo, itabidi akusanye hela halafu awagawie wananchi tena jambo ambalo halitakuwa na mantiki maana sasa si ni bora asizikusanye in the first place. Zibakie tu huko zinakotakiwa kuwa.

Nyie mnaong'angana uwekezaji katika shughuli usimamizi mkichunguza mtagundua ni kiufupi mnasisitiza kuwa serikali imeshindwa kazi. Ambayo ni kusema wananchi wameshindwa kazi. Tunaenda wapi?

Na nyie wananchi wengine kama kweli bado mnaweza kuiendesha miradi. Basi jiungeni mtengeneze mashirika na makampuni ya kufanya huo usimamizi ili faida na kazi vyote viwe mali yenu. Ukilichunguza hili kimsingi/in essence utagundua kuwa ndivyo serikali inavyoundwa.!

Au nyie mnadhani serikali ni nini? Ni kitu gani haswa?
Serekali kazi yake iwe ni kukusanya tu,kwa umakini mkubwa ili ipate FEDHA za kutosho, UNAPOPANGA KIWANGO FULANI NI RAHISI HATA KWA SEREKALI KUJIPANGIA BAJETI ZAKE,KULIKO KUAJIRI WATU WATU AMBAO HAWATAKUWA WAAMINIFU NA PENGINE WEZI KABISA!
 
Back
Top Bottom