Habari za majukumu wanajamii,
Habari hii ni kupata uzoefu zaidi, kutahadharishana na kuwekana sawa wakati huu mgumu wa uchumi wa kati.
Nimekutana na matukio mawili kwa nyakati tofauti ya kuibiwa na wahudumu wanaotoa huduma ya kuweka mafuta katika kituo kimoja cha mafuta cha TOTAL kilichopo...
Pikipiki nzuri, imesajiliwa Tanzania mwaka 2018, inatembea vema na ipo Dar es salaam kwa sasa. Bei ya kuanzia mazungumzo ni million 11 (pesa ya Tanzania milioni kumi na moja), mazungumzo yanaruhusiwa.
Hakuna dalali, mimi ni mmiliki.
Tazama picha zilizoambatanishwa kwa ufahamu zaidi.
Ahsante...
Make easy money by simply registering and follow instructions (Jitengenezee pesa rahisi kwa kujisajili na kufata maelekezo): Click Youthnize.com Earn 10$ per 10 seconds tasks, Earn 2000$ monthly - Online Job
Habari za majukumu wanajamvi,
Ninauza scooter yangu yenye specifications zifuatazo:
Imetengenezwa mwaka 2000, Japan
Make yake ni Honda
Model ni Scooter, Scoopy
Ina 125Cc
Imetembea 25,000 Kilometres
Ina usajili na imelipiwa kodi zote. Namba yake ni BDR
Kwa anayehitaji anicheki kwa namba...
Habari za majukumu wakuu, Leo nimekamatwa na ukata nahitaji Pesa chapchap. Ninauza Samsung galaxy note 3 chlone. Ipo vizuri, nimeitumia mwezi mmoja ila screen imecrack kiasi. Bei ni laki 3 na nusu (350,000).
Kwa anayehitaji anichek kwa 0768111123 (call, SMS au whatsapp)
Ahsanteni
Habari za majukumu waungwana, natumai tutakuwa na afya njema na uzima. Kwa wenye matatizo ya aina yeyote poleni na Mungu ni muweza wa kila jambo yatapata suluhisho na yatakwisha.
Leo katika kupitia hii mitandao ya jamii nimekutana na mada imenivutia na kunitia hamasa kiasi cha kutaka tutumie...
Habari za majukumu waungwana,
Hongera kwa kumaliza mfungo kwa waislamu, nachukua fursa hii kuwaletea Carina S. I iliyo katika hali nzuri, bei yake ya kuulizia ni Tshs. 7.8million, mazungumzo yanakaribishwa kwa walio serious.
Gari ipo Dar es salaam. Kwa muhitaji waweza pm au piga/sms/whatsapp...
Habari za majukumu waungwana,
Natumai sote ni wazima na tunaendelea vema na uwajibikaji wa kila siku.
Kuna asali mbichi ya nyuki wakubwa kutoka Tabora, inapatikana Dar es salaam kwa wingi, tunauza kwa kila dumu la lita 20 Tshs. 150,000/= (Maongezi yanaruhusiwa kama utahitaji kiasi kikubwa)...
Habari wakuu, poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa,
Awali ya yote naomba radhi kwa sababu natangaza biashara bila picha (na sitaweza kuweka picha hata baadae), sababu ni kwamba nipo mbali na biashara ilipo.
Nachukua fursa hii kutoa taarifa kwenu, mahsusi kwa wale waliopo MWANZA au wanaotaka...
biashara biashara biashara ya kuku wa kienyeji: Habari za majukumu waungwana, natumai tunaendelea na ujenzi wa taifa km kawaida, nina kuku wa kienyeji, majogoo zaidi ya 80, wanauzwa wakiwa wazima, bei ya jumla ni elfu 15 za kitanzania, kwa anaehitaji tuwasiliane kwa 0768111123,wapo kigamboni...
Habari za majukumu wanaJF,
Ninauza vitu vya ndani vifuatavyo ambavyo vipo MWANZA, MABATINI:
Kitanda cha 5" * 6" (cha mbao ya mninga) na godoro lake la Tanfoam - 230,000/=
Makochi mawili, La seat 1 na la seat 2 (Ya PVC) - 650,000/=
Stand ya TV (Ya Kioo)...
Hapa nikiwa najaribu kupembua baina ya siasa "maji taka kwenye mazao ya biashara" na utekelezaji wa kweli kwny sehemu husika, zao hili la pamba ni mojawapo ya rasilimali itakayopotea kabisa muda mfupi ujao kutokana na "siasa chafu" inayoendeshwa kuwadidimiza wakulima, picha hizi ni baadhi ya...
Habari za majukumu wanajamii,
Nimekumbwa na hili tatizo la kutoweza kufungua GMAIL account yangu kwa takriban siku 4 sasa, nimekuwa nikijiuliza tatizo ni nini lkn nimeshindwa kupata majibu ya kufumbua tatizo hili!
Naombeni msaada wenu ili niweze kupata access ya gmail account yangu...
Habari za majukumu waungwana, natumai Mungu anatujaalia hali njema na afya za uhakika mpaka tunapata fursa za kupita huku jukwaani na kuweka hisia zetu.
Ni muda mrefu nimekuwa nikiamini ya kwamba ndege ni usafiri wa haraka na hurahisisha shughuli za kijamii hasa kwa wafanyabiashara na watu...
Habarini za majukumu wakuu, natumai mpo safi na mnaendelea na ujenzi wa taifa dhaifu kama kawaida! Mi nina Rav 4 ya mwaka 1997, automatic, mileage yake ni 113,000, namba BXR, ya silver, milango 5, niliagiza toka Japan mwaka 2011 mwezi wa 12, nikaitumia kwa mwezi mmoja na kwa bahati mbaya...
Habarini za majukumu wakuu, natumai mpo safi na mnaendelea na ujenzi wa taifa dhaifu kama kawaida! Mi nina Rav 4 ya mwaka 1997, automatic, mileage yake ni 113,000, namba BXR, ya silver, milango 5, niliagiza toka Japan mwaka 2011 mwezi wa 12, nikaitumia kwa mwezi mmoja na kwa bahati mbaya...
Assalaamu alaykum, hongereni kwa swaum. Hili zoezi la vitambulisho vya taifa sijalifatilia kwa undani, ila kwa mtazamo wa jumla linaonekana kuwa na nia njema na wananchi wa Tanzania. Kinachonipa tabu katika zoezi hili ni kuhusu mchakato wa utoaji taarifa kwa wananchi, uandikishaji, vitendea kazi...
Habari za majukumu wakuu,
Nimekumbana na tatizo ambalo sjawahi kuliona kabla.
PC yangu inatoa message "YOU MAY BE A VICTIM OF SOFTWARE COUNTERFEITING, THIS COPY OF WINDOW DID NOT PASS GENUINE WINDOW VALIDATION" kila ninapoiwasha.
Naombeni msaada wa tatizo hili maana nimejaribu kila njia...
Gari aina ya Suzuki Carry zinauzwa, zipo pieces 10, zimeingia nchini kutokea Japan, zimelipiwa kila kitu mpaka registration, kuweka specification ya zote kwa mtindo wa moja moja ni ngumu Ila kwa ujumla ni km ifuatavyo :Zina 950Cc, zinatumia petrol, ni manual transmission, zimetembea kati ya...
Habari za majukumu wakuu, natumai mna afya njema.
Ninauza gari yenye maelezo yafuatayo:
Aina: Nissan Bluebird
Year of make: 1995
Colour: Dark Metallic Blue (imeungua na jua)
Odometer: 127,000
Fuel: Petrol
Cc: 2000
Transmission: Automatic
With A/C, CD and tape player, airbag...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.