Salamu za mwezi mtukufu ndugu zangu. Naomba kuchukua nafasi kuulizia kwa wale wenye uzoefu, kuhusu malipo ya wakili pale unapotaka akusimamie mkataba wa mauziano ya nyumba, kuna kanuni yoyote katika upangaji wa malipo kwa wakili anayesimamia mauziano?
Ni Muda sasa nimekuwa nikiziangalia hizi asasi zetu kwa jicho la tatu. Je ni sahihi kwa kila asasi au mdau kutoa tafsiri yake ya katiba? kama jibu ni sawa ni nani anawajibika ikiwa kutatokea upotoshaji wowote wa kimantiki? na je nani mlengwa kwa jitihada hizi za kutafsiri katiba hii kwa...
Ndugu yangu anatarajia kuja kutembea Dar kikazi. Atakuwa Dar Kati ya tarehe 1.12-10.01.2013. Kwa mwenye apartment au nyumba ambayo IPO furnished aniPm.
Tanzania yangu huwa haiishiwi vituko. Baada ya ukarabati na ujenzi wa nyumba kubwa na ya kisasa zaidi ya kuhifadhia maiti katika nchi za SADDC, sasa tunawapiga bao jirani zetu kwa kuhakikisha kila wilaya inajitosheleza na kujitegemea kwa kuwa na gereza lake yenyewe....
Magereza nchini yaelemewa...
Labda nitoe rai kwa madaktari, wengi tumeuunga mkono mgomo wao sio kwa sababu walikuwa wanataka nyongeza ya posho au kushinikiza watu fulani wajiuzulu. Dai la msingi la madaktari ambalo ndilo msingi wa uungwaji wao mkono na taifa zima lililalia kwenye ukweli kwamba walikuwa wakidai SERIKALI ITOE...
24 February 2011 Last updated at 11:32 GMT
Assange to be extradited to Sweden
Wikileaks founder Julian Assange should be extradited to Sweden to face sexual assault allegations, a judge has ruled.
The judgement was delivered at Belmarsh Magistrates' Court, south London, after an extradition...
NEC yabariki kampeni za Chadema Maswa kusitishwa
Na Joseph Mwendapole
30th October 2010
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imebariki uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ya Jimbo la Maswa Magharibi mkoani Shinyanga ya kusimamisha kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
Wanandugu,
Nimekuwa nikifuatilia hizi kampeni za uchaguzi tangu zilipoanza. Moja ya vitu nilivyoshuhudia na kunisikitisha ni matumizi mabaya ya rasilimali watu, muda na fedha. Bila shaka wengine watasema matumizi ya vitu hivyo hayakwepeki katika kampeni za uchaguzi, hasa katika nchi...
Taarifa nilizozipata muda sio mrefu, mwanasiasa na mpiganaji mkongwe bibi Rhoda Kahatano ametutoka. Ni pigo kwa siasa za Tanzania kwani idadi ya viongozi na wanasiasa wa kupigiwa mfano inazidi kupungua. Mungu mwenyezi na mwingi wa rehema, tunaomba umrehemu huyu mama.
BREKING NYUUUUUZZZZZ: meli ya mv Serengeti inawaka moto
Habari zilizotufikia hivi punde,ni kwamba Meli ya Mv Serengeti iliyokuwa ikifanya safari zake ndani ya Bahari ya Hindi,inawaka moto sasa hivi katika bandari ya Zanzibar ilipokuwa ikitaka kuondoka...
Rostam, Chenge, waonyesha jeuri ya fedha kwa John Cheyo
Na Anceth Nyahore
18th January 2010
Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz na Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono, ni miongoni mwa waliochangia fedha na kushiriki katika harambee maalum...
Rostam, Chenge, waonyesha jeuri ya fedha kwa John Cheyo
Na Anceth Nyahore
18th January 2010
Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz na Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono, ni miongoni mwa waliochangia fedha na kushiriki katika harambee maalum...
WanaJF,
Mahakama ilishatoa hukumu kuwa serikali iandae mazingira yatakayowesha wagombea huru kushiriki katika chaguzi zetu. Sasa tunajindaa kuingia kwenye chaguzi zetu huku serikali ikionyesha dhahiri kuwa haina nia ya kuruhusu mgombea huru.
Katika mazingira haya serikali yetu inamtumikia...
WanaJF,
Habari nilizozipata punde ni kuwa huko Uganda kuna maandamano makubwa ya Wabaganda kupinga Mfalme wao Mutebi kuzuiwa na serikali kutembelea maeneo ya waasi. Inasemekana maandamano hayo yamezaa vurugu kati ya waandamanaji na polisi, kupelekea watu 614 kuwekwa chini ya ulinzi wa polisi na...
Even with a New Government, Conditions in Zimbabwe Worsen
By TIME'S CORRESPONDENT IN HARARE Time's Correspondent In Harare – Sun Apr 26, 1:35 am ET
Tatenda Majiri, 22, hoists a calabash of home-brewed beer with some authority while discussing news of the day. But he has no confidence...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.