Hakuna sheria zozote zinazosimamia hali kama hii?Huu ni muendelezo wa foleni na msongamano katika jiji letu la Dar.
Nasema hivi, kwani siku za karibuni imekuwa ni kawaida kuruhusu magari kufanya maandamano ilhali barabara zetu zimeshazidiwa. Huu ni upungufu wa fikira.
Hii nchi ina 'wenyewe'..nyie kaeni tu hapo kazi kutoa mijicho kaa mijusi iliyobanwa na mlango.
Hivi inahitajika darubini kuwaona 'wenye nchi'?Hehehehe mzee wenyewe si ndo sisi? Au tumeamua kuwaacha watuburute watakavyo?