Kwanza kabisa serikali ingeingilia kati hizi kampuni uchwara zinazovaa mwamvuli wa kufanya research zinazoibuka from know where na kutapeli watoto wa watu, kwa kuwafanyisha kazi kwa shida bila kuwapa malipo baada ya kumaliza kazi.
REDIFINE AFRICA huwafanyisha kazi watoto wa kike kwa...
Kwa wanawake naomba mtambue ya kwamba, Kuna makundi matatu ambayo wanaume wana wagrade wanawake walionao:-
1.Mwanamke ambaye unaenda nae geto mwenyewe.
2.Mwanamke ambaye unamwambia ampe bodaboda simu amuelekeze.
3.Mwanamke ambae unamuelekeza jinsi ya kufika geto mwenyewe.
Uzi tayari...
Pledges za michango yote ni milioni 18, harusi ni mwezi huu wa tatu mwishoni, hadi muda huu watu wachache wametoa, cash iliyopo ni milioni moja kasoro. Bwana Harusi kachanganyikiwa kaniachia mipango yote nipange mimi, nafanyaje?
Bwana Harusi aliahidi kutoa milioni tano lakini katoa laki tano...
Nimekuja kugundua watu wengi hawana ajira si kwamba hawana uwezo au akili, lakini Ni Kiingereza ndiyo kiliwakwamisha kupata kazi.
Unakuta Mtu ni graduate kabisa lakini Hana uwezo wa kunieleza kwa kiingereza ,lakini Ni mzuri practicaly.
Mfano mzuri, hivi kazi Kama bank teller hiyo ata form...
Ni mchepuko wangu mpya, niko naye huu ni mwezi wa tatu. Sijawahi kumpa hela, jana nimelala naye usiku mzima, asubihi ananiaga anaondoka nimempa elfu tano ya nauli. Akaikataa, akasema asante anayo nauli.
Muda huu nampigia kumuuliza amefika wapi, nakuta nime-block-iwa, Simu na WhatsApp...
Waungwana kwema? Ni kweli vidonge hivi Ni kwaajil ya kuleta hamu ya kula?
Mimekuta kwenye mkoba wa mke wangu,ananiambia Ni vya kuongezeka hamu ya kula, na siku hizi amenenepa amekuwa na shepu tofauti na mwanzo, wataalam hii Ni kweli? Au ndio mchina at work?
Umofia kwenu wakuu, naomba mumsaidie mwanamke wangu ana maji mengi hadi anakosa confidence ya kuduu.
Mimi mwenyewe yananikera lakini basi tu ninampenda sana siwezi kumwacha.
Afanye nini maji yapungue?hata yeye haiendi hali hiyo,yaani mkidoo godolo lazima lilowe,msaada tafadhali.
Ili kulinda chama chako,kiwe kisafi lipa hawa wafanyakazi wako mishahara yao.bosi wako ambae ni Rais Magufuli,anasrma yeye ni raisi wa wawanyonge,iweje wewe unawanyanyasa wanyonge?
Wafanyakazi wako wanakufa kwa mawazo ya kukosa pesa,mfano mzuri ni Samadu Hasan,Zuberi Msabaha, John Ngayoma,James...
Hii ni jana baada ya wafanyakazi wake kwenda na familia zao ofisini kwaajili ya kudai madeni.ninachojiuliza ni kwamba bosi wake haitambui hii inshu au ni vipi.
Wakuu,
Bila shaka hamjambo, naomba kujua hivi dawa ya misoprostol isipofanya kazi baada ya kuitumia, ni muda gani unatakiwa kupita ndio urudie kumeza? Wife kameza haijafanya kazi, ujauzito ni wa wiki tatu na siku kadhaa.
Msaada tafadhali
Wakuu bila shaka hamjambo, naomba kujua hivi dawa ya misoprostol isipofanya kazi baada ya kuitumia, ni muda gani unatakiwa kupita ndio urudie kumeza? wife kameza haijafanya kazi , ujauzito ni wa wiki tatu na siku kadhaa.msaada tafadhali
Kwa kweli mwenzenu yamenifika hapaa, yaan nimekosa hadi usingizi, niko kitandan naperuz simu yangu, ghafla nikasema nichungulie kunani instagram, ghafla naona picha ya harusi ya alokuwa mchumba wangu, tulikuwa tunapendana ila kigezo cha dini ndio kilotutenganisha, tukashindwa kuona. ...
Wakuu,
Nilimpenda sana msichana kipindi cha zamani, tukiwa form one. Dada akawa ananiletea mapozi kishenzi, tukapotezana baada ya kila mtu kwenda kusoma high level mikoa tofauti.
Tumekuja kuonana ukubwani kila mtu na kazi yake sasa dada ananishobokea hatari hadi naogopa, nikikumbuka alivokuwa...
Jamani huyu dada ananikosha Sana sauti yake, nataman nimfahamu sura yake ikoje, nilishawahi kumuuliza mtu anipe picha yake akanipa picha ya dj sinyorita bahati nzuri nilikuwa namfahamu, please mwenye picha ya huyo dada naomba, pia mawasiliano yake nikimaanisha namba za simu anipatie tafadhali.
Wakuu,
Nimerudi tena, hivi inakuwaje msichana kabla hujamuandaa mnapotaka kufanya mapenzi anatoka ute ute mwingi sana, mpaka inakuwa hakuna haja ya kumuandaa,? Hii husababishwa na nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.