Wafanyakazi wa Sahara Media Group wagoma wakidai stahiki zao

ranjan

JF-Expert Member
Sep 28, 2013
338
288
Hii ni jana baada ya wafanyakazi wake kwenda na familia zao ofisini kwaajili ya kudai madeni.ninachojiuliza ni kwamba bosi wake haitambui hii inshu au ni vipi.
 

Attachments

  • IMG-20181121-WA0014.jpg
    IMG-20181121-WA0014.jpg
    53.4 KB · Views: 50
  • VID-20181121-WA0008.mp4
    14.9 MB · Views: 30
  • IMG_20181121_112428.jpg
    IMG_20181121_112428.jpg
    225.4 KB · Views: 52
  • IMG_20181121_110329.jpg
    IMG_20181121_110329.jpg
    145.9 KB · Views: 47
  • VID-20181121-WA0006.mp4
    15 MB · Views: 26
  • VID-20181121-WA0007.mp4
    14.9 MB · Views: 25
Ili kulinda chama chako,kiwe kisafi lipa hawa wafanyakazi wako mishahara yao.bosi wako ambae ni Rais Magufuli,anasrma yeye ni raisi wa wawanyonge,iweje wewe unawanyanyasa wanyonge?

Wafanyakazi wako wanakufa kwa mawazo ya kukosa pesa,mfano mzuri ni Samadu Hasan,Zuberi Msabaha, John Ngayoma,James George,Jamaa wa Futuhi,wote wamekufa sababu ya stress za kutolipwa
mishahara,kwa nini hauna utu?

Jana pia umefatwa na wafanyakaz wako na familia zao kudai mishahara wewe huna habari,

TAFADHALI RAIS MAGUFULI
LIANGALIE HILI.
 
Huwa ninajiuliza watu wengine mpaka mawaziri wakivurunda Rais anawatumbua,lakini kwa huyu bwana tapeli,muuwaji yeye hawamuoni?ukizingatia ni MWENYEKITI WA CCM MKOA WA MWANZA?
 
Walishampeleka mpk mahakama ya kazi,sijui walikuja kuishia naye wapi.
Naskia mahakamani hakuna kinachofanyika zaidi ya jamaa kutoa pesa na kesi kusozwa mbele,hawa wanaomfata wamekataa kwenda mahakamani
 
Hivi hakuna mtu wa kuweza kuwasaidia hawa watu wakalipwa stahiki zao ?watakufa waziache jamani wasaidieni hawa watu,kilichonisikitisha ni hao watoto wanafunzi jamani.
 
Utajiri siri yake ngumu sana , wala si yeye peke yake ni karibu matajiri wote wana tabia hizi .

Huko kwenye chama wamejiegesha kulinda mali zao dhidi ya hatari kama hizi. Hata huyo mzee was wanyonge angalia actions zake dhidi ya wafanyakazi na watu wengine, kama kuna utu huo. Maisha si fair hata kidogo
 
Back
Top Bottom