hapo kikwete tunampambanisha kama mwenyekiti wa ccm na sio uraisi wake. je nikiongozi yupi aliyekipa uhai chama chake toka wapate uenyekiti wa chama.
nataka kura zenu ili nape, mnyika, na mtatiro wakawaeleze wakubwa zao.
imenibidi nichague hichokichwa cha habari maana kila post unayosoma hata kama nyingine haina mahusihano na picha lkn mtu anakwsmbia weka picha, picha tafadhali, mara picha jamani,.. kiukweli wakati mwingine achekesha na wakati mwingine inaboa.. na chaajabu kunawengine watatupia kwenye posti hii"...
Wakati mwingine tuacheni unafki, mtu unapokuwa mnafki hali ya kuwa unautambua ukweli basi wewe hufai kuiongoza na wala kusililizwa na jamii na wewe si mwanademokrasia. Tunamsakama Mbowe kwamba kakaa kwenye uenyekiti mda mrefu pasipo kuangalia mafanikiyo yake katika chama, muda sio tatizo, tatizo...
mimi ni kijana wa miaka 21, tatizo langu uume wangu ni mkubwa kiasi kwamba kila nikikutana na demu wangu anashindwa kufurahia tendo hilo, huyu ni demu wa 5, ambao wanne tumeachana nao kutokana na mashine yangu kuwaumiza, huwa najaribu kusex nao polepole ila wanalalamika sana, mwanzoni nilifikiri...
waungwana sasa tumbo langu joto hasaninaposikia negative results kwa chadema maana nakipenda sana chama hiki hivyo naomba kujulishwa yanayojiri chadema kigoma na kwingineko tz.
pamoja na msemo kwamba ngoma ikivumaa sana hupasuka, lkn bado msemo huu haujauridhisha umma kwa katibu mkuu wa chadema Dk. wilbrod Slaa pale ambapo bado ameendelea kuwa na mvuuto katika jamii.Hii inadhibitishwa na mikutano mbalimbali anayoifanya kuimarisha chama hicho ambapo leo amefanya...
katika hali ya kushangaza bado watanzania tunasumbuliwa na tatizo kubwa la ujinga yaani kutokufikiri zaidi ta hapa tulipo.Waweza kifikiri labda ni tatizo la kutokusoma lkn bado inaonekana ni asili yetu kwani hata hao wasomi hawana tofauti na wasiosoma.Haiwezekani kwamba kuna mada kubwa na nzito...
wakubwa salaam, nimesikia tetesi za kwamba msanii maarufu bongo ma east afrika Diamond alifukuzwa kwenye harusi ya msanii anayeunda kundi la p-square, paulo huko nigeria, eti ni ukwel? na kama ni kweli kisa ninini? kama unapic tupia tuone...
Top Universities in Tanzania 2013
List of top universities in Tanzania, United Republic
of:
1.University of Dar Es Salaam
- It is the oldest and biggest public university in
Tanzania.
- It is ranked No. 1 in the country according to the
Webometrics Ranking of Universities of Tanzania,
United...
UDOM ni chuo kinachotoa wataalam kweli? kama ufaulu wao unaanzia C ya 35 je hapo kunaelimu kweli?
Namuuliza rafiki yangu anaye soma UDOM anasema kudisko udom umetaka mwenyewe yaani labda umechoka kukaa chuoni mana hata usipofikisha 35 ukitoa kidogo kwa mhadhiri unakula maisha safi kabisa...
Msanii wa kizazi kipya, mfalme wa rymes, Selemani msindi a.k.a baba tunda, simba dume, AFANDE SELE amesema sasa yupo tayari kwaajili ya mapambano ya kweli katika kuhakikisha jimbo la morogoro linapata kile walichokikosa kwa miaka 50 sasa.
Akizungumza ofisin ya chadema kata ya msufini, mkali...
taarifa zilitufikia mda huu nikwamba, mjumbe wakamati kuu na mshauri wa chadema profesa mwesiga beregu kuwa makamu mwenyekiti wa chadema taifa, nafasi iliyokuwa imeshikiliwa na mh. Said Arf baada ya kujiuzulu nafasi hiyo..taarifa zinasema tayari jopo la watu wakubwa wa chama hicho limeandaliwa...
Aliyekuwa naibu katibu mkuu wa CHADEMA mh. Zitto Kabwe kesho anatarajiwa kufanya mkutano mkubwa jimboni kwake, vyanzo vya habari kutoka kwa rafiki yake wa karibu anasema ndo ameagana na Zitto mida hii saa 4, ambapo Zitto anaelekea Kigoma.
Ajenda ya mkutano huo ni pamoja kukutana na wazee wa...
Breaking newzzzz!!!!
Habari zilizopo dunian kwa sasa ni kwamba Mzee wetu mahiri barani Africa, Mzee Nelson Mandela hayuko tena Hai,
wala Same wala Moshi,
bali yuko kwao South Africa akiendelea vizur na matibabu.
minaona wakati mwingine mtu unafanya maisha yakawa magumu mwenyewe, mtu unachagua education sua, ukija huku kwa semista unasoma cozi tisa natena nyingine hazina mahusisno kabisa na ualimu, baada ya semista, maumivu ya kichwa yanaanza kutotimiza credt hours, si bora ungekwenda udom!??? kwanza C...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.