Ni jambo baya sana kutukana matusi ya nguoni kama hivi(kwa sauti ya Mzee Mwinyi wakati mgomo wa chuo kikuu in early 90s)... IMO, social media is for learning and having fun...not a place for bullying na kutoleana lugha za matusi...haipendezi...!
Am 48 now, maybe am outdated...nisamehe ikiwa...
Maisha ya mwanadamu ni hadithi tu....
Ishi utakavoishi hatimaye utaingia mavumbini...
....ukifa tutasimulia habari zako aidha kwa wema au ubaya wako....tujitahidi kuishi kwa wema ili watu wasimuliwe kuhusu wema tulioufanya kwa watu!
Hesabu ya mzee imekamilika naye yupo kwa Mola kupambana na...
Pole sana msomi...!
Kama una imani kiasi na mambo ya Mungu utatambua kuwa Mungu ndiyo mtoa rizki na kila mja ana rizki yake muda wa kuwa yupo hai. Njia ya kuzipata rizki ni tofauti, wengine mtazipata kwa kusoma sana na kuajiriwa na wengine watazipata kwa kuchakarika na kujiajiri!
Wanasema...
Tulifanyiwa brain washing ya kufa mtu....!
Shuleni kwetu kulikuwa na bango kubwa la siasa ya ubepari ni unyama....40 years later Tz ni nchi ya mabepari!
Huu ndiyo ukweli...watu ambao can't even call Mwizi kuwa ni mwizi instead they water it down to Mpigaji...hawawezi kufanya lolote la maana hata wakiwa na raslimali zote za dunia which Africa has: madini, good land, water bodies, oil and gas etc.
Umeiweka vizuri...chama cha siasa lazima kiwe na makundi ndani..makundi yanasaidia ku shape mwelekeo wa chama na kufanya walio madarakani wasijisahau kwani humo chamani wapo wenye kuzitaka hizo nafasi.
Wabongo tuache fikra za kwamba tafauti ya mawazo ni uasi....uasi iwe ni kukiuka katiba!
Hata kama itakubali kukua vizuri...kabla ya kufanya large scale shamba ni muhimu kwanza ufanye trials huko shamba...miche 30 au 50....
Miti ya kupanda home huwa inapata special care ambayo ni ngumu ku maintain kwa shamba...ikiwa shamba itakubali with standard care, then utasema jaribio...
Huko Tabora panda chikichi mzee....utapata hasara ukipanda minazi. Yupo jamaa yangu alijaribu maeneo ya Kalunde karibu na JKT barabara ya Ulyankulu...yote ilikauka because of tough weather. Usidanganyike kuona minazi majumbani ndiyo ukaamua kuilima...!
La TB Joshua halikubamba sana...wabongo wamechanganyika sana hivyo wanakwepa mijadala ya kidini ili kuepuka kuwakwaza majirani, ndugu, jamaa na wapenzi(bongo ni kawaida kukuta ustadh anakula mlokole and the vice versa is also true)!
Upepo wa maandamano ushapita...sasa ni mjadala wa kazi za JWTZ ni zipi....wengi hawana hata habari kama mjadala huo umeletwa na maandamano ya chadema...[emoji1787]
Leo Taifa Stars wanacheza...story zitahamia kwenye afcon [emoji16]
Nahisi utakuwa umeanza kunywa mataputapu [emoji1787]...
Zamani walevi wa mnazi, boha, chimpumu etc walikuwa ndiyo washabiki wakubwa wa mziki wa Zaire aka Zairwaaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.