Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

Maiti pia hulindwa wanga wengi waweza itaka maiti kuchukua nyota au viungo vya watu maarafu kufanyia uganga

Yule mwanga aliyetungwa ngumi akiwa kalewa kakutana na mjuzi ile ngumi ni kumuonyesha kuwa ukikolalia wewe Mimi ndiko nilikoamkia.Agenda Yako naijua

Jeneza lingeweza fika Monduli tupu hakuna mtu ndani jeneza tupu Asante Mlinzi uko fit

Huyo Mlinzi Yuko fit Kila eneo
Wewe mngese ungekaa tu kimya.
 
Kumbe tuwaachie muwe mnazikana wenyewe tuh maana mmetuona viherehere. Watanzania wote Arusha na monduli kwa ujumla jiepushane na msiba wa Lowassa msije mkapigwa ngumi za uso au risasi.

Waachieni kina Nape na Makonda hao ndio waliompenda.

Mwananchi
Kwakweli kaaibika kwenye tv familia yake inamuangalia tu home aache kiherehere kushobokea yasiyomuhusu
 
Kwahiyo huyo mlinzi alikuwa anahofia huyo jamaa anaweza kumdhuru kwa kumjeruhi au hata kumuua maiti! Hayo majamaa yanakuaga majinga sana hata jana pale Karimjee nilimuona askari mmoja na bunduki tena akitembea kwa madaha akilinda gari iliyobeba maiti wakati ikiondoka.
Polisi ni hamnazo kabisa. Sasa sehemu kama ile bunduki ina kazi gani? Pale mlimani city miaka iliyopita kwenye bank ya crdb kama sio nmb kabla haijamishiwa ndani ndani mule. Unakuta polisi yuko na smg ndani ya bank unabaki kujiuliza kama ile ni akili ya watu wazima au ujinga tu.

Kurusha risasi kulenga shabaha kunahitaji utulivu, sasa unajiuliza hivi kwenye hadhira kubwa kama ile ikitokea la kutokea si hatari kwa wote waliohudhuria. Sehemu kama hizo kirungu kinatosha kabisa. Inaonekana polisi kuna ulimbukeni sana.
 
Kumbe tuwaachie muwe mnazikana wenyewe tuh maana mmetuona viherehere. Watanzania wote Arusha na monduli kwa ujumla jiepushane na msiba wa Lowassa msije mkapigwa ngumi za uso au risasi.

Waachieni kina Nape na Makonda hao ndio waliompenda.

Mwananchi
Muache kiherehere kwenye mambo ya watu...watu wana jambo lao wee unajipendekeza hapo unaishia kuumizwa na kuchekwa ujinga!
 
Nchi yetu ilikuwa inaitwa kisiwa cha Amani kabla ya mwl J.K. Nyerere hajatuacha yatima.

Tazameni huyu mlinzi alivyo mshambulia kwa ngumi iliyoshiba na binafsi najiuliza sipati jibu.

Je, inatoa taswira gani kwa mataifa tunayoyaita yasiyo na Amani?

 
Maiti pia hulindwa wanga wengi waweza itaka maiti kuchukua nyota au viungo vya watu maarafu kufanyia uganga

Yule mwanga aliyetungwa ngumi akiwa kalewa kakutana na mjuzi ile ngumi ni kumuonyesha kuwa ukikolalia wewe Mimi ndiko nilikoamkia.Agenda Yako naijua

Jeneza lingeweza fika Monduli tupu hakuna mtu ndani jeneza tupu Asante Mlinzi uko fit

Huyo Mlinzi Yuko fit Kila eneo
Moja ya iv za mwisho
 
Kadri Umaskini unavyoongezeka nchini na Imani Hiyo inazidi kukuta

Kule Zanzibar watu walikuwa wanatoka bara wanaenda Pemba kuchota mchanga kwenye kaburi la Maalim Seif

Kinondoni Makaburini watu wanaenda kufagia kaburi la Kanumba

Huko Chato watu wanamiminika kila iitwapo leo Kaburini kwa Shujaa Magufuli

Hivyo vijana kutamani kuligusa Jeneza la Lowassa ni kutafuta Baraka na si vinginevyo, wavumiliwe

Mfungapo Kwaresma Msiwe kama Wanafiki Wenye Nyuso za Kukunjamana 😂
Kwamba ni watu masikini ndio wanaogusa majeneza?
Umeandika kuwa ni Imani za kimasikini, hebu ona hao...
iu

Aisee. ona, acheni kuzodoa
iu

iu
 
Kumbe tuwaachie muwe mnazikana wenyewe tuh maana mmetuona viherehere. Watanzania wote Arusha na monduli kwa ujumla jiepushane na msiba wa Lowassa msije mkapigwa ngumi za uso au risasi.

Waachieni kina Nape na Makonda hao ndio waliompenda.

Mwananchi
Kwa uchambuzi wangu. Muombolezaji alikuwa kakaa ila alivyoona msafara unakuja akaona ainuke tena huku ananyanyua mikono kusikitika na ndipo akapigwa ngumi, nadhani mlinzi alikosea.
 
Maiti pia hulindwa wanga wengi waweza itaka maiti kuchukua nyota au viungo vya watu maarafu kufanyia uganga

Yule mwanga aliyetungwa ngumi akiwa kalewa kakutana na mjuzi ile ngumi ni kumuonyesha kuwa ulikolalia wewe Mimi ndiko nilikoamkia.Agenda Yako naijua mpuuzi wewe pokea ngumi hiyo

Jeneza lingeweza fika Monduli tupu hakuna mtu ndani jeneza tupu Asante Mlinzi uko fit

Huyo Mlinzi Yuko fit Kila eneo
Ndy ashavuta na harudi tena
Ndiyo ashaondokaaa hiyooooo


Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom