Kifo cha Stan Katabaro kilivyoharibu legacy ya hayati Mzee Mwinyi

Mkapa aliuza Nbc,TCC na TBL kwa bei ya kutupa huku mashirika hayo yakiwa yanatengeneza faida,ni yeye pia aliyeiingiza nchi katika mikataba mibovu ya uchimbaji wa madini,ni yeye pia ndiye aliyeleta kampuni kutoka Afrika Kusini(Net Group Solutions) kuja kuendesha shirika la umeme ambapo matatizo ya shirika la umeme tuliyonayo hivi sasa yalichangiwa pia na uamuzi huo maana jamaa wakati wakisimamia menejimenti ya shirika hawakuwahi kufanya uwekezaji wowote wa kuimarisha miundombinu ya uzalishaji umeme.
Lakini pia wakati wa mkapa ndiyo ililetwa kampuni ya wahindi kuja kusimamia menejimenti ya shirika la reli ambapo katika jitihada za kulinusuru shirika ilibidi itumike gharama kubwa ili kuvunja nao mkataba.
Je tuseme naye alikuwa Mzanzibari? Hata hivyo lengo lako kubwa lilikuwa ni Uislamu ila hiyo Wazanzibar umelitumia kama geresha tu.
Kwa hiyo kama ni muislam asiandikwe kwa mabaya yake acha fikra potofu,dini zimekuja tu na majahazi
 
Mimi nikiwa Rais hakuna atakayekufa Kwa kuikosoa serikali!!

Yaani naamini katika spinning. Team ya kisaikolojia zaidi!!

Hivi system unashindwaje kipropaganda na mtu mmoja!!?

Kumuua mtu mmoja kisa eti anaikosoa serikali ni uzembe wa serikali yenyewe!!

Stan asingetoweka kizembe Lisa loliondo mbona Bandari imeenda bila mwandishi kwenda !!?

Kumpoteza mtu kisa mawazo kinzani ni uwezo hafifu was dola kama kweli imehusika kumpoteza mhusika!!

Team spinning no njia nzuri zaidi ya ku deal na wakosoaji!!
We ndo umenipa Jibu kwanini Sasa hivi kuna spinning nyingi sana hata kwenye ukweli
 
Nika
Mabinti wa siku hizi waulize habari za Zuchu tu,big up binti wa zamani
Kabisa , kuna siku nilimuuliza binti yangu.
Umewahi kununua gazeti?
Alinishangaa kama nimemuliza umewahi kumuona Lucifer!
Nilisikia tu huruma, kile kipindi mimi nilikuwa natenga pesa ya kununua magazeti ya Rai , kumsoma Silva Rweyemamu na Jenerali Ulimwengu na makala yake ya Binti Hidaya.

Likaja Tanzania Daima (la mwanzo lile kabla halijachakachuliwa)
Citizen pia kulikuwa na makala very eye opening!
Siku hizi hata sijui wanasoma nini aiseeh!
 
Ukweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.

Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.

Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.

Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa

Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.

Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Vijana wengi wanasifika tu bila kuchambua historia. Serikali ya Mwinyi ilihusika moja kwa moja na kifo cha Katabalo sababu alikua ni mwandishi mahiri wa habari za uchunguzi na aliweza kufungua uchafu wote wa ali Hassan mwinyin na serikali yake wa kuuza maliasili zetu kwa waarabu. Anachofanya Samia kwa sasa marudio ya rais Mwinyi wakati wa utawala wake, huenda ndio maana akamleta Makonda amsaidie kwa kazi maalum
 
Mimi nikiwa Rais hakuna atakayekufa Kwa kuikosoa serikali!!

Yaani naamini katika spinning. Team ya kisaikolojia zaidi!!

Hivi system unashindwaje kipropaganda na mtu mmoja!!?

Kumuua mtu mmoja kisa eti anaikosoa serikali ni uzembe wa serikali yenyewe!!

Stan asingetoweka kizembe Lisa loliondo mbona Bandari imeenda bila mwandishi kwenda !!?

Kumpoteza mtu kisa mawazo kinzani ni uwezo hafifu was dola kama kweli imehusika kumpoteza mhusika!!

Team spinning no njia nzuri zaidi ya ku deal na wakosoaji!!
Tz 🇹🇿 diplomacy hakuna kabisa, hakuna kinacho shindikana kwenye Meza ya majadiliano,
 
Tatizo la ishu ya Loliondo ni kutendeka kwa unyama mwingi sana. Mzee wetu alitukosea sana na sidhani kama alishawahi hata kuomba msamaha. Kuuza sehemu ya nchi ni kukosa uzalendo.
na bado limebaki kuwa eneo tengefu la uwindaji tusioweza kuhoji lolote.
Ila hii nchi imeshapita kwenye mikono ya waaaaatu!
 
Muulize mama yako aliyemfira jana nani?
Ni jambo baya sana kutukana matusi ya nguoni kama hivi(kwa sauti ya Mzee Mwinyi wakati mgomo wa chuo kikuu in early 90s)... IMO, social media is for learning and having fun...not a place for bullying na kutoleana lugha za matusi...haipendezi...!

Am 48 now, maybe am outdated...nisamehe ikiwa nimekukwaza!
 
Ni kweli Wazanzibar huwa hawana huruma na maliasili za bara wao ni kuuza tu. Angalia sakata la Loliondo na Bandari ya Dsm. Mbona vya Zanzibar huwa hawauzi?
 
Ni jambo baya sana kutukana matusi ya nguoni kama hivi(kwa sauti ya Mzee Mwinyi wakati mgomo wa chuo kikuu in early 90s)... IMO, social media is for learning and having fun...not a place for bullying na kutoleana lugha za matusi...haipendezi...!

Am 48 now, maybe am outdated...nisamehe ikiwa nimekukwaza!
Mimi pia nimekwazika.
Ulikuwa ni uzi mzuri tu, niliotarajia unaendeshwa na angalau ambao tuliishi nyakati ambazo matusi ilikuwa ni kitu dhalili kukisoma au/na kukiandika pamoja na/au kukisikia au/na kukitamka!

well, Binadamu tuko tofauti!
 
Ukweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.

Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.

Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.

Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa

Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.

Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Mm huu uzi niliuapandisha kuuzu mzee mwinyi kuuza loliondo kwa waaarabu wa OBC ottelo business cooperation
Ilifutwa na sijapewa sababu za kufutwa

Mwinyi anaongelewakuwa Ni my muuungwana sna mm Sina shida na uungqama wake kosa lake kubwa kuuza loliondo kwa waaarabu kinyemela alfu anakah kimya as if Hakuna madudu ameyafanya

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom