Manara adai hakuna wa kumuua Makonda labda afe kwa 'stress' zake mwenyewe. Amtaka awaombe msamaha watanzania kwa dhulma

Huyu
Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi kwasababu ya uonevu wa Paul Makonda.

Manara amemtaka Makonda kuacha kutafuta huruma mitandaoni na sasa wanaongozwa kwa utaratibu badala ya ubabe. Pia Manara amehoji nani wa kumuua Makonda zaidi ya 'Stress' na kumtaka arudi Kolomije kwani sasa hana cheo.

Mwisho Manara amemaliza kwa kusema Makonda alilazimisha kuingia chumbani kwake kwasababu choo cha public sio hadhi yake.

Anyways huyu ndugu akiondoka sehemu au hamsini zenu zikiisha hana kifua, atayasema kwa mabaya yote mliyofanya kwa siri na dhahiri, hata GSM ajiandae siku wakienda sideways. Kwa Makonda pole sana, kuna muhenga alisema cheo ni kama koti la kuazima.

Pia, soma=> Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

=> Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

Manara anayefanya biashara ya kuoa na kuacha anapata wapi ujasiri wa kumsema vibaya makonda. Hana uadilifu kijamii au kiroho kumsema makonda.
 
Msnara ansyefanya biashara ya kuoa na kuacha anapata wapi ujasiri wa kumsema vibaya makonda. Hana uadilifu kijamii au kiroho kumsema makonda.
Mara elfu kumi Manara na kuoa kwake.
Huwezi kulinganisha tabia binafsi za Manara na za huyu Makonda ambae aliumiza wengi sana !
 
Huyu

Msnara ansyefanya biashara ya kuoa na kuacha anapata wapi ujasiri wa kumsema vibaya makonda. Hana uadilifu kijamii au kiroho kumsema makonda.
Haoi bali huwa anafanya biashara ya kutakatisha fedha, yaani iko hivi: Anatangaza kuoa, anaitisha michango, hivyo michhango yeye inakotoka hana haja ya kupajua maana hata nje ya nchi etc, so wauza madawa, etc mafisadi wana mchangia hela kibao, then hizo kwake ni legitimate money kabisa, kinachofuata sasa yeye ni kuingiza hela kwenye mfumo lasimi then baada ya hapo anawarudishia hao wenye mzigo na demu naye anakula chake ila baada ya hapo wanazinguana na maisha yanaendelea
 
Mkulima wa Galanos unaendelea vipi...ndimi fundi wa Tanga Tech...?
Haji kiboko ameshamzalisha tayari huyu mtalaka wa Dula
FB_IMG_1707247259776.jpg
 
Haoi bali huwa anafanya biashara ya kutakatisha fedha, yaani iko hivi: Anatangaza kuoa, anaitisha michango, hivyo michhango yeye inakotoka hana haja ya kupajua maana hata nje ya nchi etc, so wauza madawa, etc mafisadi wana mchangia hela kibao, then hizo kwake ni legitimate money kabisa, kinachofuata sasa yeye ni kuingiza hela kwenye mfumo lasimi then baada ya hapo anawarudishia hao wenye mzigo na demu naye anakula chake ila baada ya hapo wanazinguana na maisha yanaendelea
Story za vijiweni.
 
Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi kwasababu ya uonevu wa Paul Makonda.

Manara amemtaka Makonda kuacha kutafuta huruma mitandaoni na sasa wanaongozwa kwa utaratibu badala ya ubabe. Pia Manara amehoji nani wa kumuua Makonda zaidi ya 'Stress' na kumtaka arudi Kolomije kwani sasa hana cheo.

Mwisho Manara amemaliza kwa kusema Makonda alilazimisha kuingia chumbani kwake kwasababu choo cha public sio hadhi yake.

Anyways huyu ndugu akiondoka sehemu au hamsini zenu zikiisha hana kifua, atayasema kwa mabaya yote mliyofanya kwa siri na dhahiri, hata GSM ajiandae siku wakienda sideways. Kwa Makonda pole sana, kuna muhenga alisema cheo ni kama koti la kuazima.

Pia, soma=> Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

=> Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

MAKONDA DHAMBI ZAKE ZITAMSULUBU NA KUWEKWA HADHARANI AKIONDOKA ANAYEMLINDA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi kwasababu ya uonevu wa Paul Makonda.

Manara amemtaka Makonda kuacha kutafuta huruma mitandaoni na sasa wanaongozwa kwa utaratibu badala ya ubabe. Pia Manara amehoji nani wa kumuua Makonda zaidi ya 'Stress' na kumtaka arudi Kolomije kwani sasa hana cheo.

Mwisho Manara amemaliza kwa kusema Makonda alilazimisha kuingia chumbani kwake kwasababu choo cha public sio hadhi yake.

Anyways huyu ndugu akiondoka sehemu au hamsini zenu zikiisha hana kifua, atayasema kwa mabaya yote mliyofanya kwa siri na dhahiri, hata GSM ajiandae siku wakienda sideways. Kwa Makonda pole sana, kuna muhenga alisema cheo ni kama koti la kuazima.

Pia, soma=> Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

=> Haji Manara: Paul Makonda ulinilaza Korokoroni, acha dunia izunguke kwenye Mhimili wake

Hahaha
 
huwa sielewi hata siku moja kwanini ccm na mama wamemrudisha huyu kijana kwenye siasa za kudhalilisha watu, jana kamjibu hadi attorney general, yaani bashite asiyeenda hata shule anataka watu waende kwake badala ya kwenda mahakamani. hivi kweli Tanzania tuna uhaba wa viongozi hadi bashite aongoze watu? kweli?
 
Manara Asante sana kwa kuwa na Tabia za kisukuma, msukuma Bora umuue kuliko kinyesi chake kichanganyike na mtu mwingine ndio maana hachimbi choo na akichimba anakuachieni yeye porini na jiwe lake la kuchambia
 
Mara elfu kumi Manara na kuoa kwake.
Huwezi kulinganisha tabia binafsi za Manara na za huyu Makonda ambae aliumiza wengi sana !
Aliumiza kivipi, ..mbona hamuweki wazi. Si nyie ndio mlikua wauza madawa kazi kulia uongo huku nyie ndio mliumiza vibaya vijana kwa biashara yenu ya madawa. Saa hizi mnachekelea mama kawaacha muendelee na biashara yenu chafu. Wabinafsi wakubwa nyie mlaaniwe kabisa.
 
Back
Top Bottom