Wewe dada umeshakuwa mtu mzima sasa kwa hiyo acha ujinga ujinga.Hata Tundu ipo siku atatubu kwa Magufuli
Wewe dada umeshakuwa mtu mzima sasa kwa hiyo acha ujinga ujinga.Hata Tundu ipo siku atatubu kwa Magufuli
Nyerere angekuwa smart cha chake kisingerithiwa na wahuni wanaouza nchi sasa .Oscar Kambona alikuwa anafanya mambo undercover ili kuweza kumu out smart NYERERE,
Hayo majengo na hivyo viwanja vitarudi na kuwa mali ya umma, ipo siku vitarudi.Tulilazimishwa mpaka kutoa michango ya kujenga ofisi za Chama na pia Viwanja vya mpira ambavyo leo vinamilikiwa na CCM
Ilikuwa mkoa gani hiyo? 🤣kwenye parede ya kuingia darasani...
mwimbishaji-Bendera yetu x2
waitikiaji-Yapepea Tanzania x2
mwimbishaji-Yenye rangi blue x2
waitikiaji -Nyeusi, kijani manjano x2
mwimbishaji -Huko unguja x2
waitikiaji -Mapinduzi yalifanywa x2.
Yenye rangi blue,
Nyeusi kijani manjano x2
nilikua chonjo mbaya sana aise
Nyerere naye alitikisa sana miaka hiyo.Ilikuwa hivi miaka ya 80 + tukiwa p/school tunakimbizwa mchakamchaka huku wengi wetu tukiwa peku huku tukiimbishwa manyimbo ya kuisifia ccm na kuwaponda wote waliotofautiana na 'fikra sahihi za Nyerere' (mwenyekiti wa chama).
Kuna huu wimbo kila ninapokumbuka tulivyokuwa tunapaza sauti kuimba huwa najiona ni mwenye dhambi kwa kumsimanga Kambona pasipo kujua kosa lake hasa lilikuwa ni nini.
Nilitubu baada ya kujua ukweli nikiwa mtu mzima na Mungu anisamehe 7×70.
Nawaomba pia wazee wenzangu tulioimba nao huo wimbo kama mpo hapa tubuni na Mungu atawasamehe.
Tunaposema CCM ni muasisi wa nyimbo zisizofaa muwe mnatuelewa, walianza siku nyingi sana kutunga nyimbo za hovyo na kuwaimbisha watu (hasa watoto wa shule)
Simjui mtunzi wa huo wimbo ni nani ila naweka hapa mashairi ya huo wimbo ili wale kizazi cha zama za uwazi na ukweli + wasianze kuuliza ni wimbo gani huo..
Wimbo ni huu.... ".... Kambona aaaah aaaah Kambona ameo,,,wa, wapi aaaah aaaah wapi huko ulaya, wivu aaaah aaaah wivu wamkereketaaa".
Nimetubu na kila siku ninatubu kwa hiyo dhambi.
mkoa wa nini sasa mtumishi 🤣Ilikuwa mkoa gani hiyo? 🤣
Lakini Mwisho wa siku Malipo ni Hapa Hapa.Nyerere naye alikuwa na yake haswa, kuna kitabu nilikitoa humu kinaitwa the dark side of nyerere nimemaliza kukisoma, jamaa alikuwa mtata sana
bonge la ngoma ilo mkuu halichujagi hilo dude 🐒Tuliaminishwa Bila ya kuhoji , kuwaona Watawala kama miungu watu , Nafikiri ugomvi wa Capitalist na communist Hii ni sababu pia.
Nachelea kusema kuwa Kuna watu wanaamini sisiemu ni dini of which per SE somehow Kuna ukweli .
Chadema tuilete
Tuichane chane tuitupe,
Sisiemu tuilete
Tuikumbatie tuibusu.
Shida alikuwa Nyerere alikuwa na Element za Kimaskini na Fikra kama hizo. Aliamini sana kwenye kuomba omba.Tulifanyiwa brain washing ya kufa mtu....!
Shuleni kwetu kulikuwa na bango kubwa la siasa ya ubepari ni unyama....40 years later Tz ni nchi ya mabepari!
Mhm!! Kwan ww mwenyeji wa mkoa gani?mkoa wa nini sasa mtumishi 🤣
mie nimesoma kanda ya kati, kaskazini na pwani pia
Enzi hizo shule za private unazipata wapi?Shida ya kusoma shule za serikali shule za Private hazina na hazijawahi kuwa na hayo mambo wao shule ni shule tu siasa walitupilia mbali hata enzi hizo Ndiyo maana ufaulu haujawahi shuka shule za private hasa za kanisa katoliki wanajua agenda ya mtoto shule ni kusoma tu sio vinginevyo
mtumishi mpendwa,Mhm!! Kwan ww mwenyeji wa mkoa gani?
Kila siku kabla ya kuingia darasani lazima Goma lipigwe .bonge la ngoma ilo mkuu halichujagi hilo dude 🐒
Natokea jukwaa la MMUmtumishi mpendwa,
mie ni mwenyeji wa humu humu nchini Tz,
kwan weye ni kutoka mtaa gan mama
kwa miaka 10 katika 1000 atatoka 1 tu pangoni tena kwa tabu sana na akiwa amechoka sana hawez fanya lolote tena popote...Kil
Kila siku kabla ya kuingia darasani lazima Goma lipigwe .
Thanks to philosophy , At Early age Tukaanza kuquestion Tuliyofundishwa. Wachache lakini wengi Bado wamegoma kutoka pangoni .
Plato allegory of the cave
Kwa reply Hii na niliyoyapitia mwanangu hatosoma kayumba .kwa miaka 10 katika 1000 atatoka 1 tu pangoni tena kwa tabu sana na akiwa amechoka sana hawez fanya lolote tena popote...
Nakukubali sana mama mkufunzi wangu wa kweli huko MMU, nina tunzo yako muhimu sana tukijaaliwa takukabidhi 2030Natokea jukwaa la MMU