kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,208
- 18,476
Habari wa ndugu,
Napenda kupata maarifa zaidi kwenye ulimaji wa minazi, hasa kibiashara.
1. Wapi napata mbegu nzuri za kisasa
2. Utayarishaji shamba?
3. Muda gani wa kupanda, na namna gani nzuri.
4. Kwa ekari moja inaapendekezwa miti mingapi?
Na habari nyingine muhimu.
karibuni
Napenda kupata maarifa zaidi kwenye ulimaji wa minazi, hasa kibiashara.
1. Wapi napata mbegu nzuri za kisasa
2. Utayarishaji shamba?
3. Muda gani wa kupanda, na namna gani nzuri.
4. Kwa ekari moja inaapendekezwa miti mingapi?
Na habari nyingine muhimu.
karibuni