Mnanguliti
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 214
- 645
Uweke humu tuuone huo waraka
Akileta nitagiUweke humu tuuone huo waraka
Hata Kigwangala huwa anaongea ukweli lakini wakati gani? Aeleze ukweli kuhusu yale mahekar ya ardh anayomiliki kule MorogoroLakini si anaongea ukweli?
Mbona MO anamiliki Tanga na hulalamiki? acha atetee wanyonge kama hamiliki kihalali why usishitaki TAKUKURU?Hata Kigwangala huwa anaongea ukweli lakini wakati gani? Aeleze ukweli kuhusu yale mahekar ya ardh anayomiliki kule Morogoro
Mnakosea sana kuwaita wezi ni wapigaji...kwa staili hii tutachelewa sana.Waraka alioutoa Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina siku ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12 2024 umetajwa kuigawa CCM huku wazalendo wakimuunga mkono na wale wa mrengo wa upigaji wakiupinga kwa gharama kubwa.
Ulishawahi kusikia mwananchi wa kawaida ana shitaki TAKUKU? Lini na wapi na matokeo yakawajeMbona MO anamiliki Tanga na hulalamiki? acha atetee wanyonge kama hamiliki kihalali why usishitaki TAKUKURU?
Tanzania ina watu wa ajabu wasio na aibu kutoficha aibu yao. Waraka uandikwe na mwana CCM, uigawe CCM kwenye makundi mawili ya wanaukubali na wanaoukataa. Mlingananisho unaufanya kwa viongozi wa chadema ambao hawana habari na huo waraka. Iseee hebu kapime hilo dish!!Akili ya Luhaga Mpina mmoja ni sawa na akili za viongozi waandamizi Chadema watatu.
Anayesema ukweli mnapiga misumari ya kupoteza ugali, hivi watu mtakuwa kondoo mpaka lini? Unataka asifie palipo na uozo ili kuonyesha unyenyekuvu?Kwasababu amepoteza ugali wake???
Hapa unaomba sapoti CDM wawasaidie kumnanga Mpina,CDM kwepeni mtego huoAkili ya Luhaga Mpina mmoja ni sawa na akili za viongozi waandamizi Chadema watatu.
Kwa hiyo, kwasababu wote ni wezi hawapaswi kusemana alafu nyie mnawashangilia na kuwashabikia.Hata Kigwangala huwa anaongea ukweli lakini wakati gani? Aeleze ukweli kuhusu yale mahekar ya ardh anayomiliki kule Morogoro
Hata wakisemana tutawafanya nn ? Siku ya kupiga kura wanagawa t-shirt na madera na kuingia na kura kwenye sanadarusiKwa hiyo, kwasababu wote ni wezi hawapaswi kusemana alafu nyie mnawashangilia na kuwashabikia.
Read " I am the state " alitokea mfalme mmoja akajenga na uwanja wa ndege kijijini kwao kabisaaa. Na tulimsifia kwamba ni masiha wetu.Anayesema ukweli mnapiga misumari ya kupoteza ugali, hivi watu mtakuwa kondoo mpaka lini? Unataka asifie palipo na uozo ili kuonyesha unyenyekuvu?
Maccm hayaaminiki ngoja apewe uwaziri ndio utamwelewaJamaa anapiga misumari mikali sn
Lakini kwa sasa ametusaidia sn kujua ufisadi wa nchiMaccm hayaaminiki ngoja apewe uwaziri ndio utamwelewa
Ni shida snHata wakisemana tutawafanya nn ? Siku ya kupiga kura wanagawa t-shirt na madera na kuingia na kura kwenye sanadarusi
Read " I am the state" mtanifanya nn?
Hana tonge mdomoni kwasasa full stopKwa sababu Chadema hawana uwezo wa kujenga hoja kama Mpina.
Wao kama wapinzani walipaswa kuyafanya haya anayoyafanya Mpina.
Badala yake Chadema wao wanaedeleza siasa za kuandama watu binafsi, (Personal Attacks ).
Chadema wamekalia visasi kwa wale ambao wao wanadhani walishiriki kwa namna moja au nyingine kuwafanya wawe nje ya bunge na kuukosa ulaji kwa miaka hii mitano.
Mpina ni mwanasiasa mahiri sababu yeye anapambana na CCM, ilhali yuko humo humo.
Mpina hatukani mtu bali anatoa hoja ambazo zinawaweka CCM mahali pagumu kuzijibu.
Mpina anajenga hoja ambazo wananchi wanazielewa na pia kumuelewa.
Ndio maana nimesema bila kupepesa kwambaa...Mpina mmoja ni sawa na viongozi watatu waandamizi wa Chadema .
Hili halina ubishi.
Kubwa sanaNi shida sn
Upi ambao tulikuwa hatuujui??Lakini kwa sasa ametusaidia sn kujua ufisadi wa nchi
Aisee hawa watu ni hatari kwakweli kuliko hatari yenyewe,sasa kwa akili za majority ya watz inasidia nini kujua tuLakini kwa sasa ametusaidia sn kujua ufisadi wa nchi
Kuyashabikia maccm ni hatariiii,huyo kakosa fursa ref.yeye akiwa waziri,kwani kabla Bashe alikuajeUpi ambao tulikuwa hatuujui??