Search results

  1. M

    Afisa tarafa Kirando wilaya ya Nkasi ulifikiri utateuliwa?

    Huyu jamaa alitubana Sana sisi wana ukawa mwaka Jana, alikuwa anajipendekeza ccm ili ccm ishinde, alidiriki kuwaweka hadi wanachadema ndani, ss hv wote tupo sawa. Pole sn Kijana mwenzetu, hyo ndo ccm aka chama cha kindugu.
  2. M

    Huu ni mwanzo wa watumishi wa umma kuvunjika moyo

    Inashangaza sana kuona kuna watu katika utumishi wa umma ambao ni Maafisa Tawala, wengine ni Maafisa Tarafa, wengine ni Makatibu Tawala wasaidizi mikoani wakibaki bila kujua vyeo vyao kimuundo vitakuwaje. Na je wakifanyiwa promotion wanakuwa kina nani? Maana nafasi walizokuwa wanatakiwa...
  3. M

    Waziri Mkuu Amesema Leo Bungeni kuwa ni Sahihi Watoto wa Shule kutumiwa na CCM kwenye shughuli za Ki

    Waziri Mkuu Amesema Leo Bungeni kuwa ni Sahihi Watoto wa Shule kutumiwa na CCM kwenye shughuli za Kisiasa Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda amesema kuwa ni halali na ni sahihi kutumia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari (watoto wa shule) katika shughuli za kisiasa. Pinda ametoa kauli...
  4. M

    Janja ya majizi ya ccm mtaa wa mwera-kigamboni tumeigundua.

    Haya majizi ya ccm yaliandikisha watu 33 hewa ili wapige kura na tukawagundua mapema na taarifa tukazipeleka kwa msimamizi wa uchaguzi na ss yameondolewa.
  5. M

    Makamanda wa arusha kuweni makini na mtaa wa Sanawari.

    Ndugu zngu makamanda wa Arusha kuweni makini sn na mtaa wa sanawari coz majizi ya ccm yalichukua watu kutoka mount meru university na arusha university wakajiandikisha ili wawapigie kura.
  6. M

    CHADEMA Gezaulole kimenuka

    Leo ni siku ya ufunguzi wa kampeni ktk mtaa wa kizani kata ya somangira -kigamboni Dar, watu ni wengi sn, hakika chadema imekubalika sn katika kata hii.N.B Chadema ndo chama tawala hapa.
  7. M

    CHADEMA Gezaulole kumekucha

    Wadau mapipoz kweli CHADEMA inajiandaa kwenda ikulu bila shaka, yaani nikiangalia idadi ya akina mama, wazee, vijana waliochukua fomu za ujumbe na serikali za mitaa hapa mtaani kwetu Mwera hadi naogopa coz no wengi mno. Kati magamba walikuwa wanalazimisha watu kuchukua fomu. Mtaa huu wa Mwera...
  8. M

    Mabinti wa kileo

    Mabinti Wa kileo hawajitambui kabisa eti utakuta binti anampenda mtu mwenye pesa na anafikia hata hatua ya kuwa anamhonga ili tu jamaa ampende, hivi nyinyi mabinti hivi unataka mwanaume mwenye gari, nyumba nzuri, viwanja hivi mnajua kavipateje? Pia mnajua ni mabinti wangapi wazuri na warembo...
  9. M

    Kweli magamba yamechokwa

    Natoka ibadan npo ferr hapa magogoni nayaona magamba cjui yanamkutano hapa watu hata 30 hawafiki na ni wale madereva bajaji wanaosubiria abilia.
  10. M

    kweli wasichana wa cku hz hawapendeki.

    ni bora niwe na hit and run tu maana ukimpenda sn msichana ataishia kukudharau tu.
  11. M

    Mapenzi haya!

    kweli woman is a pot full of poison, kuna bint wazaz wa mwanaume walimpenda na wakampa namba kijana wao wakaanza kuwasiliana, ndan ya miez 2 et akachukua hatua ya kuwapigia wazaz wke kuwa kapata mchumba na mwanaume alimwambia bint kuwa yy ni mwlm wa Alevel kumbe jamaa anasoma QT, mwanamke...
  12. M

    Wazazi kumpenda binti na kutaka binti aolewe na mtoto wao je, kutakuwa na real love?

    Kuna binti mmoja kapendwa na wazazi wa kijana mmoja hivi na wanataka kijana wao amuoe unafikir hisia za wazazi zitakuwa sawa na za kijana wao?
  13. M

    Ninampenda sana mtoto wa kikurya sema yeye hajiamini kama nampenda kweli

    Jamani binafsi nampenda sana mpenzi wangu huyu, tatizo ni kwamba alishawahi kusalitiwa na nahisi ndicho kinachomfanya asijiamini kama mimi nampenda. Lakini kutoka moyoni nampenda sana. Je nifanyeje ili aniamini?
  14. M

    Nampenda sana ila hataki ndoa kwa sasa

    Wana MM kuna binti mmoja wa kikurya nampenda sana kutoka moyoni na ni mpenzi wangu kwa mwaka mmoja na nusu sasa na baadhi ya ndugu zangu na marafiki wanamfahamu. Tatizo ni kwamba huwa nikimdokezea suala la ndoa huwa anasema bado hayupo tayari na kusema kama ninaharaka nitafute mke mwingne...
  15. M

    Hivi ccm mmehararisha rushwa?

    Ndugu wana jf, huku kwetu Gezaulole hasa hasa katika mtaa wa mwera Tanesco hawataki kabisa kutuwekea umeme na badala yake mwaka jana mwezi wa 12 watu wakachanga hela zao ili wampelekee meneja wa Tanesco kigamboni ili zile pesa ziwalipe wale watu watakao fanya kazi ya kutandaza nguzo na nyaya za...
Back
Top Bottom