Afisa tarafa Kirando wilaya ya Nkasi ulifikiri utateuliwa?

mgoli magombe

Senior Member
Apr 20, 2013
121
27
Huyu jamaa alitubana Sana sisi wana ukawa mwaka Jana, alikuwa anajipendekeza ccm ili ccm ishinde, alidiriki kuwaweka hadi wanachadema ndani, ss hv wote tupo sawa. Pole sn Kijana mwenzetu, hyo ndo ccm aka chama cha kindugu.
 
Back
Top Bottom