mgoli magombe
Senior Member
- Apr 20, 2013
- 121
- 27
Natoka ibadan npo ferr hapa magogoni nayaona magamba cjui yanamkutano hapa watu hata 30 hawafiki na ni wale madereva bajaji wanaosubiria abilia.
We piga kelele tuu lakini 2015 mtatagiahwa mayai ya ccm....unadhni siasa ni kama aoko la kaiakoo ambapo ukiona watu wengi ndo biashara imekubaliNatoka ibadan npo ferr hapa magogoni nayaona magamba cjui yanamkutano hapa watu hata 30 hawafiki na ni wale madereva bajaji wanaosubiria abilia.
We piga kelele tuu lakini 2015 mtatagiahwa mayai ya ccm....unadhni siasa ni kama aoko la kaiakoo ambapo ukiona watu wengi ndo biashara imekubali
Dr slaa alijaza sana watu mikutanoni 2010,,unajua alichoambulia?
Dr slaa alijaza sana watu mikutanoni 2010,,unajua alichoambulia?
na Msinge chakachua ni nini kingetokea?
....Aliochoambuliwa ni KUIBIWA KURA...!
Huu ni utetezi wenu wa siku zote..tafuteni sababu nyingine..!
2015 hakutakuwa na uchochoro hata wa kukwapua kura moja , wanafiki wakubwa nyie !
Dr slaa alijaza sana watu mikutanoni 2010,,unajua alichoambulia?
We piga kelele tuu lakini 2015 mtatagiahwa mayai ya ccm....unadhni siasa ni kama aoko la kaiakoo ambapo ukiona watu wengi ndo biashara imekubali
habari ya mjini bila wizi wa kura MaCCM hawawezi kushinda kamwe!!
Waulize Arumeru walifanywaje??
We jifariji lakini watu wamefunguka, safari hii hamchomoi!!