Lipo jambo la kushangaza ambalo jamii, vyombo vya kisheria na asasi za kiraia zimelifumbia macho.
Wapo wazee waliostahafu mpaka hata miaka mitatu iliyopita lakini mpaka leo hawajasafirishwa,kwa maana kwamba hawajalipwa nauli ya mizigo na likizo ya mwisho.
Upo mpango wa kuipeleka serikali...
Ukiangalia haraka haraka utaamini kwamba vyombo vya kutoa haki vipo kwa ajili ya Watanzania wote.Hata hivyo uchunguzi wa karibu proves otherwise.Ulipuaji wa mabomu unaoendelea Arusha ungedhani somebody would be aprehended and procecuted.Lakini ni hadithi ile ile ya watu wasiohusika kabisa...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida serikali ya CCM imeshindwa kulipa wastahafu wake.Taarifa za ndani kutoka Wizara ya kilimo kitengo cha Utafiti zinaeleza kwamba wastahafu waliostahafu tangu mwaka wa jana hawajalipwa nauli zao za mizigo na likizo ya mwisho.Hii inashangaza kwa vile hela zenyewe sio...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida serikali imeshindwa kuwalipa wastahafu wake nauli za mizigo na likizo ya mwisho.
Inashangaza zaidi kwa vile hela yenyewe sio nyingi kiasi hicho.Wizara ambayo tuna hakika inahusika ni ya Kilimo kitengo cha Utafiti.
Baada ya kufuatilia kwa muda mrefu hakuna...
Tulipata uhuru mwaka 1961.Sina hakika kama ulikuwa uhuru wa bendera au uhuru wa kweli kwa sababu kwa jinsi mambo yalivyo kwenda :Julius kuruhusiwa kuendesha harakati za kutafuta uhuru almost freely, kuruhusiwa kiulaini kwenda UN kuhutubia manyan'gau yale,na hatimaye eti akaya-convince yaipe...
Leo ni tarehe 5 na hakuna kinachoeleweka kuhusu mishahara ya wafanya kazi.Serikali kupitia raisi Kikwete ilitangaza kwamba ifikapo tarehe 26 ya kila mwezi wafanyakazi watakuwa wameshapata mishahara yao.Inashangaza kwamba mpaka leo wafanyakazi hawaja pata mishahara yao na serikali imekaa kimya...
The Blood Typing Farce
At least 95% of the population, who have blood type O and A which are the thinnest blood and lowest blood volume, and blood type B, have copper deficiency, due to slow poisoning from blood thinners, alkalizing chemicals, copper binders, and copper antagonists...
At least 95% of the population, who have blood type O and A which are the thinnest blood and lowest blood volume, and blood type B, have copper deficiency, due to slow poisoning from blood thinners, alkalizing chemicals, copper binders, and copper antagonists that they have saturated the...
What ever the truth is about the man killed in Pakistan and dumped 'Islamically', but in secret, into the Arabian Sea, whether that man was Osama Bin Laden or not, in his real life, Osama Bin Laden was a CIA agent from start to finish, along with his cohorts of the so-called 'Al-Qaeda'...
I have been a member of Jf since 2008.I remember when very constructive and educative threads were written.It was indeed very enjoyable time.When I switched on my computer, and occasionally decided to go to Jf, it was time to learn and exchange ideas.That is not the case any longer.Very rarely...
Bohemian Grove Exposed!
The Dark Secrets of Bohemian Grove (Free Video 1 Hour, 50 Minutes)
You are listening to an actually MP3 recording of the Bohemian Grove's 'Cremation of Care' ceremony from July of 2000! | Download (769KB)
Woe unto America! Many of our nation's...
Most of us believe even today that we have anything called a natural disaster.May be it's time we changed our minds.Science is so advanced today that what we used to believe were natural disasters are now man made.Believe it or not cylones,tsunamis,volcanoes,droughts and earthquakes are made and...
Haki za wafanyakazi siku hizi hazipo kabisa.Nakumbuka nilipoanza kazi nilisaini mkatataba na serikali ambao hata hivyo ulivunjwa bila mimi mwenyewe kushirikishwa.Leo mfanyakazi hana haki yeyote.Nakumbuka niliahidiwa kupata matibabu bure Grade I,badala yake imeingizwa bima ya afya bila...
Nimesikiliza na kupokea kwa mshangao hukumu dhidi ya Zombe.Inashangaza na kutia kinyaa.Sikuwa na wasiwasi wowote kwamba Zombe angefungwa kwa vile ushahidi hata kama ni wa kimazingira, ulikuwa unaonyesha wazi kabisa kwamba Zombe kwa vyovyote vile alihusika kwa njia moja au nyingine na mauaji ya...
Sikuamini kwamba nilichokuwa nakiona na kukisikia ni kweli.Sheikh kukubali matumizi ya kondomu kwa waumini wake na Maaskofu nao kuzikaribisha makanisani huku wakijua wazi kwamba ni kinyume kabisa cha maagizo ya Mungu.Hii ni kali ya millenia.Kwa mtu mwenye akili timamu,akili ambazo hazija...
Tanzania tumebarikiwa kuwa na wasomi si haba,lakini kwa ujumla hali yao ina sikitisha.Si wasomi hasa,ila ni watu ambao kwa kiingereza naweza kuwaita opportunists.Watu walio jiingiza kwenye usomi kwa nia ya kutafuta maisha,au kwa lugha ya mitaani kuganga njaa.Ni wasomi uchwara wasio kuwa na nia...
I know for sure that there is a connection between the Illuminati and swine flu because of the extensive research that I have done about this obvious hoax.Let me say that even common sense would convince an inteligent mind that swine flu is indeed man made.
While carrying out my research,I...
Jana jioni nilimuona Bwana Luhanjo akijaribu kumsafisha Rais Kikwete.There was compete lack of seriousness and committment.Yes,hawa ndio aina ya viongozi tulionao.Nilimsikiliza kwa makini sana,lakini kwa bahati mbaya sikuona substance hata kidogo.
Bwana Luhanjo alinichefua zaidi pale...
Leo ni tarehe 30 July 2009,na hakuna dalili yeyote kwamba wafanyakazi wa serikali watapata mishahara yao.Mitaani tunasikia wafanyakazi wa serikali kuu wakiilalamikia serikali yao katika kiwango cha kutisha sana.
Tunacho hoji ni kwamba inakuwaje maagiza ya Rais yanakiukwa bila hata wafanyakazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.