Sikuamini kwamba nilichokuwa nakiona na kukisikia ni kweli.Sheikh kukubali matumizi ya kondomu kwa waumini wake na Maaskofu nao kuzikaribisha makanisani huku wakijua wazi kwamba ni kinyume kabisa cha maagizo ya Mungu.Hii ni kali ya millenia.Kwa mtu mwenye akili timamu,akili ambazo hazija haribiwa na mazingira ya kileo ya kifirauni,hakuna mjadala kwamba matumizi ya kondomu ni kinyume kabisa na hisia,maumbile na hata maagizo ya Mungu,na kwamba hatma yake ni kuzidisha uzinzi na uasherati na wala sio kupunguza.
Tukumbuke kwamba kitendo cha uzinzi au uasherati ndicho cha msingi na ambacho hakikubaliki,kwa vile kufanya hivyo ni kwenda kinyume cha maagizo ya Muumba wetu.Aliye geuza kibao na kutuambia kwamba ukimwi ndio kitu cha kujali zaidi kuliko Muumba wetu,anatutakia laana kabisa na anapashwa kukataliwa kwa nguvu zetu zote.Swala la kupata mimba au ukimwi ni la ziada tu na wala sio jambo la msingi sana.Ni wale tu wenye tamaa za mwili za kupindukia, tamaa zinazotawaliwa na mashetani,ndio tu wanaoweza kushabikia matumizi ya kondomu. Mwanadamu wa kawaida ana kiasi,sasa huyu mwanadamu wa leo ametoka wapi?
Lakini upuuzi huu ambao sasa hata wale tuliowategemea watuongoze kiroho wametekwa nao umetoka wapi?Ni kwamba, kwa siri mawakala wa mashetani wamepenyeza mawazo yao potofu,na sisi kwa ujinga tulio nao tumeupokea bila kuhoji.Athari zake ni nyingi katika jamii lakini directly or indirectly ni pamoja na ngono kuzidi katika jamii,ndoa nyingi kuvunjika,mimba mashuleni kuzidi,ukimwi kuongezeka n.k.n.k..Mwenye akili anaelewa kwamba wanapo onyesha mbele ya kiganja wana maanisha nyuma ya kiganja!
Angalizo langu ni kwamba tusiposimama imara na kukataa mafundisho yaliyo kinyume na ubinadamu wetu, laana ya Mungu iko juu yetu.Ni vema basi tukaogopa kuangukia kwenye laana na hasira ya Mungu,inatisha sana.
OLE WAO VIONGOZI WA DINI AMBAO SASA WAMEAMUA KWA MAKUSUDI KABISA KUPOTOSHA UKWELI,HUKUMU YAO ITAKUWA KUBWA ZAIDI![/COLOR][/COLOR]
Tukumbuke kwamba kitendo cha uzinzi au uasherati ndicho cha msingi na ambacho hakikubaliki,kwa vile kufanya hivyo ni kwenda kinyume cha maagizo ya Muumba wetu.Aliye geuza kibao na kutuambia kwamba ukimwi ndio kitu cha kujali zaidi kuliko Muumba wetu,anatutakia laana kabisa na anapashwa kukataliwa kwa nguvu zetu zote.Swala la kupata mimba au ukimwi ni la ziada tu na wala sio jambo la msingi sana.Ni wale tu wenye tamaa za mwili za kupindukia, tamaa zinazotawaliwa na mashetani,ndio tu wanaoweza kushabikia matumizi ya kondomu. Mwanadamu wa kawaida ana kiasi,sasa huyu mwanadamu wa leo ametoka wapi?
Lakini upuuzi huu ambao sasa hata wale tuliowategemea watuongoze kiroho wametekwa nao umetoka wapi?Ni kwamba, kwa siri mawakala wa mashetani wamepenyeza mawazo yao potofu,na sisi kwa ujinga tulio nao tumeupokea bila kuhoji.Athari zake ni nyingi katika jamii lakini directly or indirectly ni pamoja na ngono kuzidi katika jamii,ndoa nyingi kuvunjika,mimba mashuleni kuzidi,ukimwi kuongezeka n.k.n.k..Mwenye akili anaelewa kwamba wanapo onyesha mbele ya kiganja wana maanisha nyuma ya kiganja!
Angalizo langu ni kwamba tusiposimama imara na kukataa mafundisho yaliyo kinyume na ubinadamu wetu, laana ya Mungu iko juu yetu.Ni vema basi tukaogopa kuangukia kwenye laana na hasira ya Mungu,inatisha sana.
OLE WAO VIONGOZI WA DINI AMBAO SASA WAMEAMUA KWA MAKUSUDI KABISA KUPOTOSHA UKWELI,HUKUMU YAO ITAKUWA KUBWA ZAIDI![/COLOR][/COLOR]