Lipo jambo la kushangaza ambalo jamii, vyombo vya kisheria na asasi za kiraia zimelifumbia macho.
Wapo wazee waliostahafu mpaka hata miaka mitatu iliyopita lakini mpaka leo hawajasafirishwa,kwa maana kwamba hawajalipwa nauli ya mizigo na likizo ya mwisho.
Upo mpango wa kuipeleka serikali mahakamani kwa kukiuka sheria iliyojitungia yenyewe.Mimi ndio maana ni mmoja wa wale wanaoamini kwamba kuhangaika kutunga katiba mpya is a waste of energy,time and tax payers' money.
Kama wapo wanasheria JF tunaomba ushauri wa awali.Moderator naomba usiondoe thread hii tafadhali,maana mnaona kila thread against the government ni ya kufuta.
Please be impartial.
Wapo wazee waliostahafu mpaka hata miaka mitatu iliyopita lakini mpaka leo hawajasafirishwa,kwa maana kwamba hawajalipwa nauli ya mizigo na likizo ya mwisho.
Upo mpango wa kuipeleka serikali mahakamani kwa kukiuka sheria iliyojitungia yenyewe.Mimi ndio maana ni mmoja wa wale wanaoamini kwamba kuhangaika kutunga katiba mpya is a waste of energy,time and tax payers' money.
Kama wapo wanasheria JF tunaomba ushauri wa awali.Moderator naomba usiondoe thread hii tafadhali,maana mnaona kila thread against the government ni ya kufuta.
Please be impartial.