Recent content by yangumacho

  1. yangumacho

    Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

    Maharagwe ya Arusha yanasoko sana kw kuwa hata yakikaa siku nyingi hayabasiliki
  2. yangumacho

    Saikolojia: Ishara zinazoonesha wewe ni handsome/una mvuto wa kiume tofauti unavyodhani

    Duuh ktk hizo zote sina hata moja ,labda kwa mbaaaali hiyo ya kutusifiwa huenda ikafanananami
  3. yangumacho

    MJADALA: Je, kuna madhara yoyote ya kufanya mapenzi wakati wa hedhi?

    Sio kweli ndg mwanaume anatakiwa afanye mala 2 kw wiki
  4. yangumacho

    Watu wanasema mimi ni nani? Swali alilouliza Yesu linalofungua ubongo wa mwanadamu kujitambua

    Swali ulilo uliza hata akikaa miaka mia ,jibu halitapatikana kabisa ,itabaki kutoa ushahidi wa kiujanja ujanja tu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. yangumacho

    Jezi za Taifa Stars zimeangalia maslahi ya Yanga

    Hahahahahahaha
  6. yangumacho

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Kwnza unataka kulima mbegu ya aina gani, na maeneo gani ambayo unahitaji kwenda kulima kutokana na ardhi yake
  7. yangumacho

    Mwanamke kumtongoza mwanaume na tamaduni za Kiafrika

    Ndio maana mnakufa na ndoto zenu, kw kuogopa kuonesha hisia zenu, au mmesahau kale kamsemo ketu "raha jipe mwenyewe"?mtoto wa kike ukimpenda mwanaume we Mwambie tu ukweli ukisubiri litakuchwea
  8. yangumacho

    Steel wire zinauzwa bila uthibitisho wa TBS, ni hatari kwa afya

    Inawezekana ikawa kweli hayo uyasemayo, lkn ulitakiwa ueleze kw kina si Juu Juu tu, sasa hapo mimi nikiyachukua na kumueleza mtu, harafu akiniuliza 7bu zake nitamtosheleza vp
  9. yangumacho

    Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

    Duuh!! Sasa ninyi mlifuata nini huko, naona mnatutisha tu
  10. yangumacho

    Nimemwona Wema Sepetu, nimeshangaa kwanini tuna mu-Over rate sana

    Ina nini tena hiyo miguu na wewe nae!!
  11. yangumacho

    Sam Mahela wa ITV na kipindi cha upande mmoja

    Upo vizuri kidogo
  12. yangumacho

    Kimenuka Rukwa: Waislam watangaza kutokuwa na imani na Rais Magufuli kutokana na hujuma wanazofanyiwa

    A, alaykum ndg zangu, Kwanza kabisa nawaomba watu wasilete masihara ktk jambo hili, km huna cha kuchangia ni vema ukipita tu kuliko kuleta istizai, ndg zangu jambo hili si dogo hata kidogo, mambo yahusuyo imani yanaathari kubwa kuliko hata mambo ya vyama, na mala nyingi mnyonge akakasirika hana...
  13. yangumacho

    Kupitisha siku nne bila kukutana kimwili na mke wako ni makosa

    Ila shekhe mbona hajatoa aya ip isemayo hivyo, au ni hadithi ipi ya mtume?
  14. yangumacho

    Wanaume: Msidhani kila mwanamke ambae hajaolewa yuko 'desperate' na ndoa

    Aah, sasa Kama ni mchezaji huru unatakaje, lazima usajiliwe au unataka kufa na kipaji chako?
Back
Top Bottom