Youngstunna
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 261
- 295
Nahitaji anayeuza maharage ya Njano super.
Huyu km sio tapeli basi Mungu akulinde wewe utakaempigia huyu mtu mana unaweza kuingizwa mkenge liveliveHabari za saa wakuu wangu?
Bila kupoteza muda niende katika jambo husika kwenu wahenga na wasamaria mnisaidie maarifa...
Wakuu kama mhitimu bila kupoteza muda ktk kutafuta na kusubiri kupata ajira mwaka huu nilifanya maamuzi ya kuwekeza fedha yangu ya akiba ktk kilimo cha maharage huko Gairo Morogoro, namshukuru Mungu pamoja na changamoto za ukosefu wa mvua nimefanikiwa kupata mavuno yakuridhisha kiasi chake, nililima maharage ya njano na soya... Ktk hali ya ugeni ktk sekta hii na changamoto katika kumuuguza mama ambae kwa mapenzi ya Mungu aliona mama apumzike sikufanikiwa kufanya tafiti za kutosha juu ya soko la maharage
Sasa nimevuna na ninao mzigo kubwa wastani wa tani 5 na bado sijamaliza kuvuna ni maharage ya soya na njano, kwa yeyote mwenye kujua soko lake kwa wafanyabiashara ama taasisi yoyote tafadhali niunganishe nao, natanguliza shukrani za dhati
1 kg ni 1400 bei yaweza kupungua kulingana na ukubwa wa mzigo pia tutaweza fanya kazi endelevu hata baada ya msimu kupita, gharama za usafiri kwa asilimia kubwa zitakuwa kwangu, karibu pm mkuu
Ni yakweli haya jamaaanJe unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.
Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.
Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
Mbegu umetumia hizihizi za maharage ya dukani au umenunua kutoka duka la pembejeo?Binafsi mwezi uliopita nilijaribu kuanza kulima harage la njano. Nilianza na nusu heka, sasa hivi yashaanza kutoa maua. Nilifikia uamuzi huu baada ya kugundua asilimia kubwa ya wakulima wanalima kienyeji sana hivyo ubora wa maharage unakuwa mdogo.
Huwa nanunua maharage kwa kiasi kikubwa toka kwenye soko la mazao na kuyasafirisha Dar. Changamoto kubwa ya biashara hii ni endapo mzigo wako ukipata competition ya ubora na mizigo mingine, hapa itabidi ushushe bei kidogo. Kwa upande wa maharage ya njano, mikoa ya Arusha na Tanga ndio wanaongoza kwa ubora then Lilondo na Madaba (Ruvuma). Harage la njano la Songea mjini nilipolifikisha Dar liliuzwa kwa 1700 per Kg,wakati ya Lilondo ni 2000 per Kg na Arusha na Tanga ni 2200 - 2400 per Kg.
Kinachotofautish bei ni unene na ubora wa harage. Utafiti wangu ndio umenifanya nijaribu kulima mwenyewe (nimeanza na nusu heka) ila hapo baadae nitaingia miguu yote miwili pindi nikikamilisha utafiti. Wakulima wengi wanakwepa gharama za utunzaji na uendeshaji kilimo. Ila kama utapanda na kufata taratibu zote za uwekaji mbolea na upuliziaji dawa,nna uhakika outcomes ni nzuri na zao litakuwa bora (hiki ndio nataka nikifanye) then nisafirishe direct hadi Dar.
Ila kwa upande wangu nataka nifanye kilimo cha umwagiliaji,hapa namaanisha nikivuna kwenye ili jaribio langu mvua ndio zitakuwa zinaanza. Nitatulia kwanza then nisubirie kununua kwa wakulima wengine kama kawaida. Then nitaingia shambani tena mwezi wa 3 mwishoni mvua zikianza kupungua ili niexecute plan yangu.
Nikirudi kwako mkuu Kisima, pamoja na mchanganuo uliotutolea kwa upande wako. Ila itakuwa vizuri ukituonesha na picha walau tuone hayo matuta yanakuwaje,upandaji wa hizo mbegu umekaaje na mfumo mzima wa hizo pump za umwagiliaji upoje ili walau tuwe na clear image vichwani mwetu.
Shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maharagwe ya Arusha yanasoko sana kw kuwa hata yakikaa siku nyingi hayabasilikiMbegu umetumia hizihizi za maharage ya dukani au umenunua kutoka duka la pembejeo?
Naomba namba zako Kisima tuongeeHii ndo habari njema wakuu!
Mimi nalima harage ya njano. Nalima kwa surface irrigation (furrow method)
Njia hii utaimudu kwa ufasaha kulingana na muonekano wa shamba lako. (natoa huduma hii kwa mhitaji).
Huwa nalima kwa mahesabu make mi ni mwanahesabu tangu kuzaliwa kwangu;
Hiki ndicho nifanyacho:
1) Ekari1 huwa naigawa kwa mistari5 iliyo sawa;
Kawaida 1acre=>4000sqm. Kwahiyo basi
4000/(8m*2m)*10kg*2000Tsh@kg= Tsh5,000,000
Katika hesabu hii:
4000sqm ni eneo lote la ekari kwa square mita.
8m ni urefu wa kila kijaruba kwa kipimo cha mita.
2m ni upana wa kila kijaruba kwa kipimo cha mita
10kg ni uhakika wa mavuno ya kila kijaruba.
2000Tsh ni kiasi cha bei ya maharage ya njano kwa kila kilo.
Tsh 5,000,000/= ni mapato ya jumla katika kila ekari.
Ufuatao ni mchanganuo wa gharama ya hiki kilimo kwa ekari moja kulingana na eneo la kilimo kinapofanyika na msimu husika hasa kipindi cha jua kali.
1) Natumia 6ltr@acre
2) kawaida namwagilia mara 10 mpaka kuvuna maharage kulingana na hali ya hewa.(6ltr*10=2500*6*10=>150,000/-)
3) natumia mbolea ya CAN Kg50@are=>Tsh90000
4) Tsh 200,000 kulima na kuchora muelekeo wa utiririkaji wa maji.
5) Booster 2ltr@6000=>12,000
6) Fungicide=>40,000
7) Insecticide=>48,000
8) Mbolea supergro tsh 250,000.
9) Palizi nafanya mwenyewe
10) Navuna na kupokea mkwanja nikiwa shamba. Siku hiyo lazima nichinje jogoo kwajili ya mteja!
Karibuni sana shamba. Ukiamua kuchagua upande huu utakuwa njia sahihi.
Usimtegemee mwajiri wako maana anakutumia kwa ujira finyu na ukizeeka hatakuhitaji kamwe.
Janjaruka mwanangu usiwe poyoyo!!
Naomba namba yako Kisima nikupige, yangu ni 0768884019Hii ndo habari njema wakuu!
Mimi nalima harage ya njano. Nalima kwa surface irrigation (furrow method)
Njia hii utaimudu kwa ufasaha kulingana na muonekano wa shamba lako. (natoa huduma hii kwa mhitaji).
Huwa nalima kwa mahesabu make mi ni mwanahesabu tangu kuzaliwa kwangu;
Hiki ndicho nifanyacho:
1) Ekari1 huwa naigawa kwa mistari5 iliyo sawa;
Kawaida 1acre=>4000sqm. Kwahiyo basi
4000/(8m*2m)*10kg*2000Tsh@kg= Tsh5,000,000
Katika hesabu hii:
4000sqm ni eneo lote la ekari kwa square mita.
8m ni urefu wa kila kijaruba kwa kipimo cha mita.
2m ni upana wa kila kijaruba kwa kipimo cha mita
10kg ni uhakika wa mavuno ya kila kijaruba.
2000Tsh ni kiasi cha bei ya maharage ya njano kwa kila kilo.
Tsh 5,000,000/= ni mapato ya jumla katika kila ekari.
Ufuatao ni mchanganuo wa gharama ya hiki kilimo kwa ekari moja kulingana na eneo la kilimo kinapofanyika na msimu husika hasa kipindi cha jua kali.
1) Natumia 6ltr@acre
2) kawaida namwagilia mara 10 mpaka kuvuna maharage kulingana na hali ya hewa.(6ltr*10=2500*6*10=>150,000/-)
3) natumia mbolea ya CAN Kg50@are=>Tsh90000
4) Tsh 200,000 kulima na kuchora muelekeo wa utiririkaji wa maji.
5) Booster 2ltr@6000=>12,000
6) Fungicide=>40,000
7) Insecticide=>48,000
8) Mbolea supergro tsh 250,000.
9) Palizi nafanya mwenyewe
10) Navuna na kupokea mkwanja nikiwa shamba. Siku hiyo lazima nichinje jogoo kwajili ya mteja!
Karibuni sana shamba. Ukiamua kuchagua upande huu utakuwa njia sahihi.
Usimtegemee mwajiri wako maana anakutumia kwa ujira finyu na ukizeeka hatakuhitaji kamwe.
Janjaruka mwanangu usiwe poyoyo!!
huwa unatoa gunia ngapi kwa hekaNaomba namba yako Kisima nikupige, yangu ni 0768884019
Naomba namba zako Kisima tuongee