Hongera sana Mheshimiwa JJ Mnyika. Nadhani ungewashauri wabunge wenzio wa CDM kuwasiliana na wapiga kura wao kwa njia hii ya mtandao na kujibu maswali na hoja zao. Keep it up honorable Mnyika and I wish you all the best hapo mjengoni.
Sio vyema kumuombea mtu mabaya lakini Mwakyembe aliwasaliti Watanzania kwa kuficha taarifa nyingi kuhusu Richmond ili aokoe serikali na chama chake. Baada ya hapo akapewa cheo cha Naibu Waziri Ujenzi (kama vile vipande 30 vya Fedha alivyopewa Judas Iscariot ili amsaliti Bwana Yesu). Mwakyembe...
Smatta, for your info, Tanzania has nothing to lose even if we get out of EAC. We have have all the resources we need for our development . Truly we are better with our comrades in the SADC.
Bigaraone, thanx for your comments on Mwita25. According to sources of my "inteligensia", Mwita25 is an employee of one of the mushrooming FM Radios in Dar and his 'pro-Magamba' excoriate against Mama Shelukindo reflects the kind of language (be it Kiswahili) you will hear from presenters in...
Uporoto01,
kwa taarifa yako kule Mtwara kuna mafuta ambayo ayajaanza kuchimbwa. Namtumbo-Songea pamoja na Bahi-Dodoma kuna Uranium. Hivi vyote ni vyanzo vya nishati ambayo Marekani inahitaji. Pili China inainfluence kubwa Tanzania kwa hiyo njia ya kuakikisha malighafii hii haiangukii mikononi...
Kama kweli wewe Mheshimiwa Lowasa basi tunakukaribisha kwenye JF. Kama kiongozi ni lazima ukubali kukosolewa hapa JF. Umungu mtu hapa hakuna. Mimi naomba utueleze ni biashara gani ulioifanya katika siasa (hasa katika kile kipindi cha ujamaa kuelekea ubepari baada ya Azimio la Zanzibar) mpaka...
Wanzanzibari tayari wamesha weka mipaka ya nchi yao ndani ya katiba yao. Sasa hii nchi tunayoiongelea kama Tanzania ni hipi? Je ni Tanganyika peke yake maana ndiyo ambayo mipaka yake haitambuliki na haina katiba yake? Ama kweli nchi yangu Tanganyika ni shamba la bibi hata wakenya sasa wanasema...
Nape hacha longolongo juu ya mambo ya Nyamongo. Askari wa Chama Cha Magamba ndio wameua rai Arusha na Tarime kama makaburu walivyokuwa wakifanya Afrika ya Kusini. Lakini nakuuliza Je mmemalizana na Ole Parokwa juu mambo ya kuanzisha CCJ? Angalia safari hii EL kakukamata mahali pabaya....yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.